Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Asalaaam aleykum ndugu zangu, ninalo zito moyoni mwangu. Nilikuwa na mpenzi wangu tumefahamiana zaidi ya mwaka sasa. Mwezi wa tisa mwaka jana nikiwa field mikoa tofauti nilimwomba aje ili angalau...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Okoa mahusiano yako kwa kuepuka maswali ya kipuuzi kama haya.... 1. Uko wap? 2. Wafanya nin? 3. Huli leo?.. .. Mengine mwayajua wenyewe.. Yanatukera. Take care.
2 Reactions
57 Replies
5K Views
Jamani mimi kwa macho yangu sijaliona jina langu kwenye listi ya wanaodaiwa hivyo nashukuru wamenitendea haki kabisa....
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hii nchi haitokuja kuendelea kamwe ebu ona wananchi wake wanawaza mapenzi mda wote....maofisini watu wanawaza mapenzi,majumbani,vijiweni,kwenye madaladala mijitu imekaa kimya utazani inatafakari...
0 Reactions
73 Replies
6K Views
Mambo zenu ma G-thinker? Nauliza hivi ni response gan huwa mnaichukua iwapo girlfriend wako anakuwa anachat muda wote hata mkiwa kwenye mazungumzo yenu serious? Coz kuna rafiki yangu kamtelekeza...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Umetokea kuwapenda watu wawili kwa wakati mmoja?.No,haiwezekani kwamba unawapenda wote,kuna yule wa kwanza kupendwa na wa pili kupendwa.Ninakushauri uwe commited kwa huyu wa pili kumpenda,yule wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara kuhusu kitchen party. Nini maana yake? Je, ni sawa na unyago? Maana unakuta mwanamke anayefanyika kicheni pati, ni mjuzi wa mambo ya mapenzi na unyumba kuliko...
0 Reactions
21 Replies
13K Views
Wadau mlioko Dodoma hebu tujuzeni, hivi haya ya kweli? Au soga tu za mjini kama ni kweli kumbe ndiyo maana maisha ya wabunge yamepanda huko Dodona na hata wakaongezeana posho. Tujuzeni mlioko Dom
0 Reactions
10 Replies
2K Views
nimeanza na east africa nikaja clouds nikahamia radio one nikaenda kiss fm, majic fm, passion, 100.5, capital... Zote hizi mida hii mapenzi tu. Hivi hakuna zaidi ya hili?
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Jamani kuna msichana nilimtongoza nikiwa shule ya msingi lakini hatukufika mwafaka kwa kuwa tulivyomaliza shule kila mtu aliendelea na secondary na hatukuwa na mawasiliano kila mtu akawa na issue...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Im sory to say this, mnaweza niambia hayanihusu, but kuna vitu vinatia kichefuchefu jamani! Naenda toilet ya ofisini, nasikia strange noise kama vile watu wanafanya mapenzi. Nakuwa siamini...
11 Reactions
149 Replies
30K Views
Je umeshawahi kumtazama mkeo au rafiki yako wa kike katika namna yake ya kuvaa? Lakini je, hata wanawake unaowajua ambao unakutana nao kila siku, iwe kazini, mtaani au popote, umeshawahi...
5 Reactions
26 Replies
6K Views
Jamani umeolewa na mwanaumwe hataki kazi. Asubuhi adi jioni anashinda home na housegal na mtoto wake. Hatoki ajishungulishi yeye akiamuka anakaa kwenye kochi akichoka anaeingia kulala ndani. Ni...
0 Reactions
57 Replies
4K Views
makubwa nimetumiwa kwenye face book na nisiemjua jamani si jui tunaelekea wapi
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimebahatika kukutana na girl super cue na tukapanga mambo mengi. Cha ajabu tukapanga tukutane one day ili kubadilishana mawazo akaniomba nimjie na zawadi kwa bahati mbaya hakuiependa hiyo...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Wajamen kuna kisa kimemtokea rafiki yangu nikabaki naduwaa!!! Kuna mdada tunafahamiana nae anafanya kazi katika Taasisi fulan hapa nchini, ameolewa na ndoa yao ina kama miaka 7 hivi. Mimi kwa...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Valentine's day is coming up and I would like to give the guy I'm dating something special..something that would make him think of me but I just don't know what. He is not my boyfriend yet...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
The king made a banquet and ordered his clever slave to serve the best food that money could buy. The main food at the meal was tongue... all kinds of tongue cooked in all kinds of ways. All the...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Everyone has ProblemsA mother who had lost her only son went to the man of religion in her village and said: "Is there anything you can give me to reduce the pain that I feel?" "Yes," he said...
5 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wadau, Jamani ningependa kujua bei ya bete za uchumba kwa hapa bongo na pia zinapatikana wapi? Najua kuna watu watanisema kuwa nikatafute kwa Masonara sijui, haina shaka ila nataka...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…