Naombeni ushauri kwa huyu demu jamani!

Jt jr

Senior Member
Feb 3, 2012
181
57
Jamani kuna msichana nilimtongoza nikiwa shule ya msingi lakini hatukufika mwafaka kwa kuwa tulivyomaliza shule kila mtu aliendelea na secondary na hatukuwa na mawasiliano kila mtu akawa na issue zake. Baadae alitafuta namba yangu ya cm nikiwa form5 nikawa naye kwa mda lakini baadae tuliachana kwa kile alichodai kuwa simjali, ila ni kwa sababu ya shule. Alirudia kunitafuta nilipomaliza form6 tukaka tukaongea mengi akaniweka wazi kuwa ana mtoto teyari na aliyezaa nae mtu mwenye mke, anadai ilitokea bahati mbaya na mtoto alichukuliwa na babake, nikiwa chuoni amenitafuta tena tukawa tunachart akanielezea stori zake zote na wanaume aliokuwa nao yeye akadai ilikuwa ni harakati ya kumtafuta anayemfaa maishani. kaniambia ananipenda, na Akaahidi hatarudia ujinga wake wa nyuma nikambadilishia na laini ya cm, mpaka sasa tunapanga tuje kuoana. Ila najiuliza itakuwaje?na huku teyari ana mtoto ingawa alichukuliwa na baba yake, kitu kingine nalingana naye umri. Naombeni ushauri wenu wanajamii km ni busara kuwa nae.
 
Jamani kuna msichana nilimtongoza nikiwa shule ya msingi lakini hatukufika mwafaka kwa kuwa tulivyomaliza shule kila mtu aliendelea na secondary na hatukuwa na mawasiliano kila mtu akawa na issue zake. Baadae alitafuta namba yangu ya cm nikiwa form5 nikawa naye kwa mda lakini baadae tuliachana kwa kile alichodai kuwa simjali, ila ni kwa sababu ya shule. Alirudia kunitafuta nilipomaliza form6 tukaka tukaongea mengi akaniweka wazi kuwa ana mtoto teyari na aliyezaa nae mtu mwenye mke, anadai ilitokea bahati mbaya na mtoto alichukuliwa na babake, nikiwa chuoni amenitafuta tena tukawa tunachart akanielezea stori zake zote na wanaume aliokuwa nao yeye akadai ilikuwa ni harakati ya kumtafuta anayemfaa maishani. kaniambia ananipenda, na Akaahidi hatarudia ujinga wake wa nyuma nikambadilishia na laini ya cm, mpaka sasa tunapanga tuje kuoana. Ila najiuliza itakuwaje?na huku teyari ana mtoto ingawa alichukuliwa na baba yake, kitu kingine nalingana naye umri. Naombeni ushauri wenu wanajamii km ni busara kuwa nae.

Piga chini huyo sio mwaminifu, unajua mahawala huwa hawaachani katu!!
 
Unavyojieleza inaelekea kama wewe bado ni kijana. Kwa nini usitafute kitu brand new badala ya kukaa unang'ang'ana na Used? Tumia vizuri ujana wako.
 
piga chini huyo sio mwaminifu, unajua mahawala huwa hawaachani katu!!
mmh huu si ushauri mzuri bwana mkubwa,
mimi nakushauli kama umelidhika naye muoe huyo, kwani hayo mengine ni mapito tuu na ukweli ameshakuambia angeweza kukuficha pia, nadhani huyo ndo mkeo umli si kigezo bwana.
 
dogo kama unampenda kutoka moyoni bc huyo ndo mwanamke wa kuoa
 
Majibu unayomwenyewe. Kama roho ina wasiwasi means hakufai achana naye
 
Jamani kuna msichana nilimtongoza nikiwa shule ya msingi lakini hatukufika mwafaka kwa kuwa tulivyomaliza shule kila mtu aliendelea na secondary na hatukuwa na mawasiliano kila mtu akawa na issue zake. Baadae alitafuta namba yangu ya cm nikiwa form5 nikawa naye kwa mda lakini baadae tuliachana kwa kile alichodai kuwa simjali, ila ni kwa sababu ya shule. Alirudia kunitafuta nilipomaliza form6 tukaka tukaongea mengi akaniweka wazi kuwa ana mtoto teyari na aliyezaa nae mtu mwenye mke, anadai ilitokea bahati mbaya na mtoto alichukuliwa na babake, nikiwa chuoni amenitafuta tena tukawa tunachart akanielezea stori zake zote na wanaume aliokuwa nao yeye akadai ilikuwa ni harakati ya kumtafuta anayemfaa maishani. kaniambia ananipenda, na Akaahidi hatarudia ujinga wake wa nyuma nikambadilishia na laini ya cm, mpaka sasa tunapanga tuje kuoana. Ila najiuliza itakuwaje?na huku teyari ana mtoto ingawa alichukuliwa na baba yake, kitu kingine nalingana naye umri. Naombeni ushauri wenu wanajamii km ni busara kuwa nae.

masuala ya mapenzi ndugu wakati mwingine hayahitaji ushauri! Lakini kwa sababu hapa ni mahala pake ngoja nikudadavulie ninachoweza!
1.kulingana na maelezo yako huyo binti unampenda sana kwa hio mie sioni Tatizo liko wapi kama utaamua kumuoa! Suala la yeye ana mtoto si hoja bali ni maamuzi yenu wawili ndo yatakayowapa dira na dhamira ya kuoana!
2.uaminifu! Hapa ndo kuna tatizo! Ingawa huyo binti ana mtoto mmoja inawezekana akawa ndo mwaminifu kuliko hata wewe! Inawezekana wewe una watoto wengine tayari au umisha tundika watoto wa watu mimba ila kwako wewe huoni ni tatizo bali utaangalia huyo unaemuoa tu!
3.kujali! Inawezekana ni kweli ulikuwa humjali sana binti kwa sababu ulikuwa na mihangaiko na masomo! Binti Amejaribu kupenda wengine imeshindikana hivo moyo wake uko kwako mpokee!
Muhimu:::kumbuka hakuna mtu asie na mapungufu! Cha muhimu ni kukubaliana ni jinsi gani mtarekebisha makosa na kuanza maisha ya me na ke!
Kila la heri!
Kumbuka!!! Mapenzi hayalazimishwi......
 
sahau yaliyopita, mtoto sio tija kwani wengi wao wanawakojoa chooni au wanatubambika ambao sio wetu hivyo kama mmependana na tabia zinaridhisha muoe tu.
 
ukishakua na doubt na partner wako that means huna uhakuka na maamuzi ya moyo wako,mimi nakushauri usiwe na haraka hebu subiri kidogo mpaka moyo wako utakaporidhia pasip kushauriwa na mtu au kuambiwa
 
ukishakua na doubt na partner wako that means huna uhakuka na maamuzi ya moyo wako,mimi nakushauri usiwe na haraka hebu subiri kidogo mpaka moyo wako utakaporidhia pasip kushauriwa na mtu au kuambiwa
Kweli kabisa uliosema, na mimi kwa kuwa napenda tende basi nakupa point hapa.
 
kama mmeshaanza kufanya mipango ya kuoana ina maana tayari kimeshaeleweka na kila mmoja ameridhika na mwenzake, so huna haja ya kuwa na kigugumizi - chukua mzigo jumla huo mzee, umri sio big deal
 
Unavyojieleza inaelekea kama wewe bado ni kijana. Kwa nini usitafute kitu brand new badala ya kukaa unang'ang'ana na Used? Tumia vizuri ujana wako.

Used ndio sera za nchi, hauoni serikali imepitisha hiyo kitu!,
Brandnew. Mmmmh unaweza kushubiri mpaka ukawa sugar daddy.
 
Back
Top Bottom