Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mi ni kijana nadhifu Natafuta msichana awe maji ya kunde, miaka 24-27,mkristo, msomi angalau Diploma,mcha Mungu, mwenye kujituma,mwaninifu mtii,mpole wastani Asiwe mlevi,mvuta sigara, Mi ni...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Bishanga nikichezea kichapo toka kwa mama Kayaii nikaja kulalamika hapa mmu mnanicheka,jamani zis is a serious problem,hebu someni hii toka front page ya 'daily news' ya leo: Kenyan men urged to...
2 Reactions
52 Replies
4K Views
Wana Jf, kuna usemi wa kingereza unaosomeka:- always women give sex to get love while men give love to get sex. Je kuna ukweli wowote. Kwa mawazo yangu naona wanawake kutokana na usemi huo ndio...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Ni vipi mapenzi sio pombe, lakini yanalewesha? Sio kidonda lakini yanatonesha? Sio maradhi lakini yanauwa? Sio harusi lakini yanafurahisha? Sio fimbo lakini yanaumiza? Jee waungwana mapenzi nini?
0 Reactions
27 Replies
13K Views
Mwanamama mmoja nchini Marekani anayefanya kazi mochuari ameingia matatani baada ya kupata uja uzito kwa kujamiiana na mtu aliyekufa. Mtandao wa habari wa dead serious news umesema tukio hilo...
1 Reactions
35 Replies
4K Views
NDOA bana ajabu kweli. Ndoa ni kama shule,mara nyingi kabla ya kuingia kwenye ndoa sio rahisi kumfahamu mwenzako kwa kila kitu,hasa tabia zake zote. Kwa kua ndoa ni kama shule,tunategemea...
4 Reactions
16 Replies
4K Views
WANAUME nchini KENYA leo wanaanza mgomo wa siku sita wa KUTO KULA NYUMBANI kupinga vitendo vya KUPIGWA na wake zao. Huh,hivi hawa ni wanaume kweli au mashoga? Au ndo wale wanao tunzwa na...
0 Reactions
87 Replies
8K Views
Nimekutana na msichana flani hvi jana,tukabadlishana namba zetu za simu!cha kushangaza eti leo ananitumia tafadhali niongezee salio..ni halali kweli ukzngatia hata cjatupa nyavu bado?
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Money can be one of the biggest stressors in a marriage, and fights over money can often lead to divorce. Don’t let your relationship be a casualty of money stress. Here are some money moves that...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana jf'mm n member mzuri sana wa hii rum ila cjawahi ku comment chochote coz najikuta nasoma 2 comm za wa2 na kurifresh mind! Ok' leo nimejikuta natinga kwenye uwanja.majuz nilienda kumpa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwakua maisha mjini yalizidi kua magumu kulikua hakuna jinsi, tukaona turudi kijijini. Nilimpenda sana mkewangu, nikaona niende kukaa kwa kaka yangu naemfata. Walipendana sana na mke wake. Thanks...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Wanajamvi Nilikuwa na Mpenzi wangu ambaye tumekuwa katika mapenzi kwa muda mrefu sanaa, ni karibu miaka sita. katikati ya uhusiano wetu alipata ujauzito na tuna mtoto mmoja ana miaka minne lakini...
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Naomba kuuliza KUNA CCTM AMBAYO MTU ANAWEZA KUPATA MSG ZA MTU FLANI ANAZOTUMIWA..... mfano mimi naweza nikasoma msg zote zinazoingia kwenye cm yako unazotumiwa na mtu yeyote kupitia cm yangu bila...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Ukiolewa tayari una mume je? inakuaje unakua na kibusitani hapohapo unaongeza tena kibustani cha pili hii nitamaa au umalaya.
1 Reactions
85 Replies
7K Views
wana JF naomba kuuliza kuna athari gani a kisaikolojia inapatikana kwa kufanya tendo la ndoa huku unaangalia movie za X?
0 Reactions
48 Replies
37K Views
Mfano ndo umeanza uhusiano na mWANAUME, siku yakwanza mmenda kwa ajili ya kuNGONOKA mmeingia chumbani HUYO, anatoa HIV rapid test utafanyaje hapo SEMENI KWELI
4 Reactions
155 Replies
9K Views
Waswahili wanasema bora kukosea kujenga kuliko kukosea kuoa. Msemo huu unarihidhisha wazi kuwa swala la kuoa linahitaji busara na hekima ya hali ya juu. Ni kitu gani hasa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
hi Jf members, hope u r all ok. natafuta marafik wa kike wa kuchat nao na kubadilishana mawazo,awe anasoma kuanzia form 5 mpka university first year,miaka 18-22,awe mstaarabu.
0 Reactions
39 Replies
7K Views
Wakuu Wana JF, Salaam! Nimejaribu kuangalia kama hii mada ilishaletwa hapa lakini sikuona inayolingana nayo. Ikiwa ipo tayari samahani kwa kuirudia. Huwa ninatatanishwa na dhana ya WIVU katika...
0 Reactions
119 Replies
75K Views
Natafuta mchumba sifa awe na heshima pia mavazi ya kujieshimu umri 20-30 ukijiona unasifa hizo usisite nitafute kupitia 0713422764
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…