tena sio moja.Pepo la ngono hilo
tena sio moja.
kanitosa yule offer zake mimi siziwezi bwana eti ujenzi hadi uzae je akifa njiani ameshajilia utamu hapa? aku babu.ngoja nisubirie wazabuni wengineswty hujambo ? Ulimalizana na yule tajiri mweusi ? Ajatoa ka advance bado ?
upo kaka changia mambo ya kidumu hapaSmile mambo
Mzima wewe
Bucho duh upo
Napita tuu jama ngoja nitafakari nitarudi
Unajua mambo mengine ni ya ajabu sanaupo kaka changia mambo ya kidumu hapa
nadhani na hilo la wanaume kutowatosheleza wake zao linachangia.si unajua wanaume wa siku hz nasikia hadi kikombe?Unajua mambo mengine ni ya ajabu sana
Sijui ni tamaa au ni nini
Ila kuna siri nyingi sana zinafichwa na zile master bed room ambazo huwa hazitolewi nje na ndo zinazofanya mambo kama haya yatokee
Tamaa, kukutosheka na kile unachopata, ujinga na ulimbukeni tuu,au tabia na mazoea ya mtu yaani haachi asili yake
ahaaa sister wangu wa ukweli umeamua kunifanyia marketing? offer yake ikoje?Hivi ukiwa umeolewa na una kidumu kimoja TU ni halali?
Smile mdogo wangu, nna mzabuni mmoja potential, hahesabii hela mfukoni kama Bucho ila nachaji 17% kama crdb. Tuonane basi
Ukiolewa tayari una mume je? inakuaje unakua na kibusitani hapohapo
unaongeza tena kibustani cha pili hii nitamaa au umalaya.
Hao sio wanaume bana ni wavulana hao hawajafikia kwenye uanaumeQUOTE=Smile;3366875]nadhani na hilo la wanaume kutowatosheleza wake zao linachangia.si unajua wanaume wa siku hz nasikia hadi kikombe?
Hivi ukiwa umeolewa na una kidumu kimoja TU ni halali?
Smile mdogo wangu, nna mzabuni mmoja potential, hahesabii hela mfukoni kama Bucho ila nachaji 17% kama crdb. Tuonane basi
Hapo red, ni hobby