Ni vipi mapenzi sio pombe, lakini yanalewesha? Sio kidonda lakini yanatonesha? Sio maradhi lakini yanauwa? Sio harusi lakini yanafurahisha? Sio fimbo lakini yanaumiza? Jee waungwana mapenzi nini?
Kuna tafsiri nyingi,lakini ni zawadi kubwa sana tuliopewa na Mungu. Yeye ndie asili ya upendo Mungu ni Pendo.Labda nitoe tafsiri kwa mtazamo wa kibiblia.....
1. Upendo huvumila
2. Upendo haulipi mabaya
3............
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.