JosM
JF-Expert Member
- Oct 11, 2008
- 679
- 17
Habari wana jf'mm n member mzuri sana wa hii rum ila cjawahi ku comment chochote coz najikuta nasoma 2 comm za wa2 na kurifresh mind! Ok' leo nimejikuta natinga kwenye uwanja.majuz nilienda kumpa hi my best ndani ya story akaniambia ameamua kuachana. Na rfk yake wa kiume coz anapata mimba every month.,then ku2mia kinga hawez anapata fangas.msaidien kwa hili yuko sawa???????