Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nataka kumtafuta princes wa price john gelas.mweupe,mwenye nywele ndefu,aliyejazia wowowo na acyependa pesa pia chuchu saa 6 kamili usiku.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
1. Hi JF: Natafuta rafiki wakike ambaye baadaye atakuwa mkewangu. Sifa: 1.Mkristo. 2. Age range from 24-28 yrs old. 3. Husiwe ushatowa mimba. 3. Huwe na upendo wa dhati. 4. Education level...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Dear brothers and sisters. Asalam alaikum. Since we are one big family I just wanted to drop a line to share good news with you, Alhamdullilah my beautiful wife gave birth to a beautiful...
23 Reactions
93 Replies
6K Views
Kuna mambo ambayo mpaka sasa nashindwa kujua nfanyeje...jaman mliooa au mnaolijua hili nambieni, kuna umuhimu wa kuoa mke uliyemzidi umri?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu,ivi ktk mapenz nani anaetakiwa kuanza kumpigia simu mwenzie?maana me jana tu cjapga cmu,leo nimenuniwa balaa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jaman kuna ulazimaa kuoa mke uliyemzidi umri?
0 Reactions
2 Replies
953 Views
hbar wadau bana naleta hii mada ni wakati gan muafaka wa kumuambia mpnz wako kuwa katika mahusiano yako ya nyuma yalipelekea kuwa na mtoto je ni wakat wa mwanzo wa mapenz au katikati au baada ya...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
QUESTION;Why do women live longer life? ANSWER;Shopping never causes heart attacks but paying bills does.
0 Reactions
4 Replies
951 Views
HOTUBA YA UFUNGUZI WA SONGEA GLOBAL NETWORK (SGN) KWENYE UKUMBI WA AGOPAL – SONGEA TAREHE 21/04/2012. Mh. Mwenyekiti, Mh. Katibu Mh. Mhasibu Ndugu Wanamtandao, Ndugu Wageni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii tabia iko kwa wadada sana, ukimboa kwa chochote au kwa lolote lile solution anayoichukua ni kukaa kimya au kupunguza mawasiliano na wewe au atakwambia "tutaongea kesho!". Ukiona hivyo kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kumekuwa na mazungumzo ya kuhusu hawa wajenzi huru (Free mason) ikihusishwa na mafanikio makubwa ya kimaisha. Najua kila mtu anashughulika kila siku ili kupata mafanikio katika maisha yake. Pia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kudadaadek........ umri wangu unakaribia miaka 38, sina hata mchumba wala mtoto wa kusingiziwa. Hivi ninaweza kweli kupata patna wa kuoa? nakaribia kukata tamaa. Lakini ni lazima kuoa?. But I...
1 Reactions
62 Replies
5K Views
Rafiki yangu alienda nje kusoma akabahatika kupata rafiki wa kike ambae walishirikiana katika nyanja zote za mapenzi. Baada ya kumaliza masomo rafiki yangu akarudi TZ peke yake. TZ akapata rafiki...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wana jfm habari!kwa wenye ufahamu ni wapi ntapata suti nzuri kwaajili ya harusi kwa hapa dar,naomba nifahamishwe.
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Hi JF member am here looking for real wife or soul mate; Am cool handsome boy, calm altitude , cheerful , like having fun with my partner, 183cm tall. well educated own a degree, I would...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Imekuwa kama ka tabia flani hivi...maana hawa dada zetu wakisha shinda u miss..kinachofatia ni kuolewa na wazungu..is it a social ladder?? kwani ukiolewa na kijana safi wa kitanzania kuna tatizo...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Kweli ni maajabu, mtu kwenye relationship anamlalamikia mwenzake kwamba ni predictable, wala hakumbuki kwamba na yeye ana role to play as far as relationship is concerned. Ni Love, kissing...
0 Reactions
2 Replies
755 Views
Nimefanya kauchunguzi kidogo kwa ndugu na rafiki zangu waliooa/olewa. Nimegundua maisha ya ndoa yamegawanyika ktk sehemu kuu 3. Ambazo ni KIZUNGU, KICHINACHINA na KIENYEJI. 1.Kizungu huwa mara tu...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
The Power of Words Watch this and then thank your God for what he gave us without asking. If you don’t believe me, ask your parents or ask yourself if they actually asked God for a son/daughter...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
jamani wapenda na wadau wote wa JF! Jambo moja hunitatiza! hiv kweli kabisa mtu aweza pata mwenzi wa maisha humu au kupitia JF? mimi na naamini wapo wengine wengi tu kama mimi wanaohitaji wenza...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…