Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,095
- 2,440
Hii tabia iko kwa wadada sana, ukimboa kwa chochote au kwa lolote lile solution anayoichukua ni kukaa kimya au kupunguza mawasiliano na wewe au atakwambia "tutaongea kesho!".
Ukiona hivyo kwa huyo dawa yake ni nini? Ni kumuacha mpaka hasira zake zipungue ama kumkata kwenye mawasiliano? ama kumwomba msamaha ama kuchukua hatua ya kubadilisha ulichomboa?
Pamoja na hayo bado anakwambia "tutaongea kesho, we hujui tu ...!"
Ukiona hivyo kwa huyo dawa yake ni nini? Ni kumuacha mpaka hasira zake zipungue ama kumkata kwenye mawasiliano? ama kumwomba msamaha ama kuchukua hatua ya kubadilisha ulichomboa?
Pamoja na hayo bado anakwambia "tutaongea kesho, we hujui tu ...!"