Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,668
- 40,916
Imekuwa kama ka tabia flani hivi...maana hawa dada zetu wakisha shinda u miss..kinachofatia ni kuolewa na wazungu..is it a social ladder?? kwani ukiolewa na kijana safi wa kitanzania kuna tatizo gani..ndio utakuwa maskini?? au jamii haitakupa nafasi?? Inanikera na inaniboa..