Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kwanza naomba radhi kwa hili nitaloeleza hapa maana naenda kinyume na codes za kiume "What happens in Vegas stay in Vegas" Sio vizuri sana kuzungumza mambo yako yahusishayo wanawake mitandaoni...
19 Reactions
256 Replies
16K Views
Wanaume huwa tunavimba vichwa sana kuona mke anakuja kuomba ushauri wa mambo yake ni utiifu wa kiwango cha juu , akiwa na jambo utasikia subiri hubby aje niongee naye hafanyi jambo bila...
12 Reactions
46 Replies
490 Views
Hi there..👋👋 I was fierce warrior known as samurai trained to serve my Lord. As samurai I was required to be forever in The Master's service..Serving with cultivated the bushido codes of martial...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Eid Mubarak y’all… Napenda kuomba radhi kwanza kwa maneno makali/yasiyo na staha niliyotumia katika katika mada hii, I failed to put it together. Samahanini kwa wote ambao andiko hili litaSound...
79 Reactions
454 Replies
60K Views
Hello there👋👋 Vinchii caught a fine fat trout. His maiden gave him a name for his Misery, Does calls him You are Filthy- freaking sticking Animal.😢😢😢 After dwelling on this realm for many months...
7 Reactions
83 Replies
6K Views
Inakuaje mtu unakosa raha ya maisha kwa ajili ya mtu mmoja unaempenda halafu yeye hana mpango na wewe. Duniani tupo watu zaidi ya 7 billion kwanini ujisumbue kung'ang'ania mtu mmoja ambae...
101 Reactions
369 Replies
54K Views
Kuishi na vijana wa balehe ni safari inayohitaji uelewa wa kina, subira, na hekima ya kipekee. Kipindi cha balehe ni hatua muhimu katika maisha ya binadamu, ambapo kijana hupitia mabadiliko...
4 Reactions
12 Replies
246 Views
Salamu kwenu wakuu........Binafsi siyo mwandishi sana ila nitajitahidi kadiri niwezavyo kufikisha ujumbe. Nimekaa nikawaza hivi kwanini wanaume tunatumia nguvu nyingi sana 1.Tupewe attention na...
3 Reactions
29 Replies
308 Views
Hello guys naamini mko poa, poleni na majukumu ya hapa na pale,… yakiwa yamebaki masaa kadhaa tuianze weekend nilihitaji tuzungumze hii issue japo kwa uchache, sijajua kama mshawahi kuidiscuss ila...
5 Reactions
64 Replies
533 Views
Ukiwa kama mwanandoa ama hujaoa ama hujaolewa bado Ushauri wa bure usidate na mwanandoa ile dhambi haitakaa ikuache wewe na family yako Nakwambia hili fuatilia wanaoteseka kwenye ndoa leo hii...
15 Reactions
126 Replies
2K Views
Kulingana na utafiti usiorasmi uliofanywa na mtaalamu wa sosholojia (sociology) mwalimu Mandela kato ambaye pia ni mhubiri wa neno la mungu imebainika kuwa: 1.Watu wenye kipato cha chini na...
1 Reactions
5 Replies
85 Views
Mchezo gani umecheza utotoni Sana.
4 Reactions
8 Replies
125 Views
Happy Sabbath wanajamvi. Si rahisi kugundua ni Kwa kiwango gani unapendwa,ni ngumu mno,ila bahati mbaya wanaume Tunajikuta si wapembuzi wa mambo.mtu anajikuta anaingia kwenye mtego wa SUBIRA na...
13 Reactions
57 Replies
841 Views
Ni hivi, kwenye mahusiano ya kimapenzi kuna hali mbili kupendwa ama la. Mapenzi siyo kitu cha kudumu kama nyumba, hisia za mtu zinaweza kuwepo na kupotea. Ukiachana na mapenzi ya wanafamilia...
13 Reactions
202 Replies
2K Views
Shikamoni wote humu maana mi ndo last born wenu humu. Huu uzi alitakiwa auandike Binti wa zamani ila acha nijilipue; "My racing white darling uzuri wako hauelezeki. Tangu umekuja kwenye maisha...
7 Reactions
28 Replies
394 Views
Mambo ya kuitana switii, bebiii, asaliii...sitaki, najua mnavizia hiki kimshahara kangu. Mshahara ni wa kwangu, nimeupata baada ya kuchomwa na jua pamoja na kumaliza soli ya kiatu kwa kutembea...
5 Reactions
24 Replies
259 Views
Habari wana jamvi ! poleni na hongereni kwa kila jambo mwaka fulani nilifanikiwa kupata kibarua kampuni (X), hapo baada ya miezi nilikutana na mwanamke mmoja mrembo kwa taarifa nilizopewa yeye...
6 Reactions
92 Replies
1K Views
Nilikukuta umechoka mbwa wewe unalala sebuleni kwa rafiki yako eti umetoka huko ulikotoka kuja kutafuta kazi baada ya kuzalishwa watoto wawili uliowaacha kwa mama yako. Nikakupenda kutokana na...
32 Reactions
91 Replies
2K Views
Asalam aleiko Moja kwa moja kwenye Mada Siku za hivi karibuni nimeanzisha harakati za kuzitandika mbususu ipasavyo na tena bila huruma. Sasa cha ajabu kati ya mbususu 10 ninazokutana nazo basi...
12 Reactions
83 Replies
2K Views
Back
Top Bottom