Mtu mpumbavu hupimwa kwa yale yamtokayo moyoni mwake. Au hupimwa kwa chatting stylist yake.
Binti unachat naye kidogo anaanza kuandika njaa inaniuma. Hajala anasema , anahitaji umtumie elfu 5 ya...
Leo nimefika arusha kuna harakati nilikuwa nacheki.
Ila jamen nimekutana na mabinti wa kimaasai warembo mno.
Hata kwetu singida sijawai kukutana na hizo namba.
Kwa mtazamo wangu miaka ijayo...
Wengi wanasema ni wababe sana na wanapiga wanaume vibaya sana bila huruma.na hawako romantic hata kidogo mida yote wamevalia sura za kazi.
Na tena kingine wanabania wanaume gemu...
Habari za jioni wa jf, sisi sote tunabwaswa tutambue kwamba HAKI YA MTU ndio kitu pekee humfanya mtu kuishi kwa amani, na isije ikatokea kati yetu tukakosa amani eti kwasababu ya...
Ni vitu gani vya kuzingatia kabla ya kuingia kwenye mahusiano?
Ndoa kwa ujumla nielekezeni wakuu nisije nikajichanganya ni mambo gani ya muhimu kuzingatia kabla ya ndo?
Mchango wenu
Wakili Richard Manyota amesema kuwa kwa mujibu wa Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, watu wanaoishi pamoja kwa zaidi ya miaka miwili na kutambulika na jamii kama wanandoa wanaweza kutambuliwa kisheria...
AINA TISA (09) ZA LIMBWATA ANALOTUMIA MWANAMKE KUMLOGA MWANAUME
Mwanamke ndio binadamu wa kwanza kabisa kuongea na Shetani face to face na hatujui waliongea mambo gani mengine tofauti na ile ishu...
Ngoja nipumzike siasa kidogo jioni hii:
Unaishi na mwanamke ambaye mpo sawa almost Kila kitu usitegemee atakuheshimu kwenye ndoa, utabaki unalalamika ana kucheat na huna cha kumfanya.
Kwa mfano...
Habari zenu wakulungwa.
Ukiwa kama baba,mara baada ya kupata mtoto na mkeo,ni ugumu gani huwa unaupata kuweza kushiriki tendo la ndoa na mkeo pindi mnapokuwa mnalea mtoto wa miezi 2 hadi miaka 2...
Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!
Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa...
Sioni sababu ya kupoteza muda kuulizana ulizana hali, kila mtu apambane na hali yake, moya kwa moya kwenye mada.
Toka balehe mshawasha wa kufanya mapenzi huwa mkubwa sana. Tuna fikiria vitu...
Maana ya Ndoa
Ndoa ni muunganiko kati ya mwanamume na mwanamke, walio amua kwa ridhaa yao wenyewe kuishi pamoja kama mke na mume mpaka mwisho wa maisha yao ya ndoa.
Aina za ndoa kwa mujibu wa...
1. Anachukua sauti ya demu anae mtaka anaitengenezea sauti ya maneno ya mahaba kulingana na fantasy zake kazi imeisha.
2. Anachukua picha ya demu anae mvutia kisha anaivua nguo au anaigeuza...
Mtoto/MWANAUME/Baba/Babu shikilia mashine yako kama uko poa kabisa huna changamoto ya kiafya, tekenya kende, gusa limsuri la katikati ya mtu.wa nyama wako, ukiona limesmama mwambie Mungu Asante...
Hakuna mwanaume yeyote duniani aliyetajirika kwa mapenzi, ila wapo wanawake waliotajirika kwa mapenzi.
Wapo wanaume wengi waliofilisika kwa mapenzi, na pia wapo waliopoteza kazi na muelekeo wa...
Hii Story nimeipata mahali Baada ya kusoma mpaka Mwisho Kuna kitu nimejifunza Kwa Hawa Mapaster au wachungaji....soma tudiscuss Kwa Kina
PART 1
TABIA ZA MUME WANGU ZILINICHOSHA
ANAANZA...
Kwanza alianza mwamba kabisa Baltazar Egonga, sasa hivi kuna huyu mwamba anaitwa Jonasi wa kwenye show ya "The Polygamist" yaani huyu ndio kapiga msumari wa mwisho
Wanawake kwa sasa wanatuogopa...
Habari wana JF na Poleni na kazi wakuu, katika jamii ninayo ishi kuna baadhi ya familia ya mke na mume hupata kuishi ndani ya ndoa hata kwa miaka 3,4-5.
Na unakuta hawajapata mtoto hata 1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.