Habarini,
Katika pita pita zangu mtandaoni insta, nimeona wanaume wengi wakijadiliana kuwa wameombwa na wachumba zao girlfriend allowance, shida yao kubwa ikiwa sio kuombwa hio girlfriend...
Wahenga walisema “Mujini shule”. Usipoishi mujini kwa akili, utapata taabu sana. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Baada ya kupata changamoto ya ndoa, mke wa rafiki yangu...
Sasa ndugu zanguni, mimi ni mtu mzima kabisa, nina miaka 40. Nilianza shughuli za watu wazima nikiwa na miaka 20, nikawa mfuatiliaji mzuri wa mambo ya "unyama wa mwituni", kwa lugha...
Waislamu na watu wote mnakaribishwa hapa kuja kutueleza kinagaubaga kuwa kwa nini Uislamu unasemwa kuwa ni dini ya haki? Tunajadili hoja matusi hayaruhusiwi.
Wakuu, naombeni experience zenu hapa chini!
Mdahalo huu unalenga tafakari ya kina kuhusu nafasi ya familia katika maisha ya mtu.
Swali ni “Ungepata nafasi ya kuzaliwa tena je, bado ungechagua...
Wakuu natumaini wote mpo salama na mnaendelea vyema kusherekea sikukuu hizi
Dah, kwa upande wangu mimi sipo sawa kabisa hapa najiona mkosefu sana na sijui hata jamii itanielewa vipi, nimekuja...
Huyu binti inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.
Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue...
Hello waungwana, mko salama? Poleni kwa shughuli za kila siku, na heri ya mwaka mpya.
Siku hizi mjini kuna biashara nyingi sana. Kuna wakati hadi unajiuliza, je, wanaume wameacha kutongoza au...
Wakuu,
Mimi ni me miaka 24,natafuta mwanamke bikra wa kuoa umri ni kati ya miaka 18 hadi 21,kwa yeyote aliye tayari au anamfahamu bikra huyu anicheck pm
Natanguliza shukrani.
Haijalishi ni used au bikra
Kwa hali ya sasa ukichagua mwanamke kwa kigezo cha bikra pekee safari badi ni ndefu.
Maamuzi sahihi ni kuangalia yupi mwenye akili timamu na anaefaa kuwa mke...
Habari wakuu.
Hapa naongea na Vijana we zangu
Wanaoitafuta miaka 40
Na wale wanao jitafuta kimaisha miaka 25+
Kama ulikuwa na wazo la kuoa wewe mchizi wangu au umemuacha mke wako/mpenzi wako...
Habari ya weekend great thinkers?
Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto...
1. Milioni moja ndio mshahara wangu, nagawana na mke wangu pasu kwa pasu, atajua mwenyewe anaufanyia nini.
2. Nahudumia familia yangu bila kujali pesa ya mke wangu.
3. Najisikia raha sana kuwa...
Hivi malegend hapa hua mnachomokaje demu unamuomba namba anasema Hana simu na wakati unamuonaga nayo ukimuuliza hiyo nini eti sio yangu mademu kama Hawa ni kwamba hawakutaki au namba Gani. Vipi...
UTOFAUTI WA MWANAMKE NA MWANAUME
Miaka 18, Mwanamke ana chaguo. Miaka 18, Mwanaume hana chochote.
Miaka 25, Mwanamke anatafuta upendo. Miaka 25, Mwanaume anajitafuta kimaisha.
Miaka 30...
Heshima kwenu wakuu, kiumri ni mkubwa 45+, nimekuwa na shida ya uzazi na shemeji yenu, anabeba ujauzito linajitokeza tu tatizo kidogo tunapoteza mtoto siku ya kujifungua na always huwa...
Kwanza napenda ku declare interest kwamba mimi ni mnunuzi mzuri wa mabinti kwenye mitandao ya Tinder, Tagged na Badoo.
Kila nikifika eneo jipya huwa nakagua profile moja baada ya nyingine kwenye...
Habari ndugu zangu Mimi ni kijana wa miaka 24 naelekea 25 Nina kipato changu kizuri naitaji kuoa
Huku Jamii Forum Kuna wasomi na watu makini
Je, ni vitu gani vya kuzingatia kwa mwanamke wakatiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.