Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ipo hivi wakati nipo chuo nilikutana na binti mmoja mzuri tu wakati nipo mwaka wa pili yeye yupo wa kwanza tumedumu katika mahusiano hatimaye mpaka mimi nimemaliza chuo nikamuacha yeye anaendelea...
17 Reactions
63 Replies
1K Views
Wengi wanapunguza uchu wa ngono kwa kujichua mara kwa mara au tendo la ndoa. wengine wanapendekeza kuoa mtu mwenza mwenye uchu kama wako. Baadhi wanashauri kufanya mazoezi au kununua vifaa ngono...
3 Reactions
26 Replies
501 Views
Je lengo la ndoa ni nn 1 kuzaa 2 kujamiiana 3 kusaidiana majukumu ok kuna watu wanasemaga mada za kitoto ok kama mada ni ya kitoto nenda kasome mada za kizee kiutu uzima naitaji majibu na maelezo...
0 Reactions
5 Replies
106 Views
Habari wana jamvi Duniani kumekuwa na kila aina ya mambo yanayo msonga mwanadamu. Je ni Uraibu gani umekushinda kuacha licha ya kupambana? Sakwe bin sakwe Binadamu mashaka
9 Reactions
87 Replies
1K Views
Sasa unakuta mdada kapendeza na makebo ndindi akitongowa anakataa sasa kwa nini? unapendeza? unapendeza ili iweje? acheni izo
4 Reactions
9 Replies
192 Views
Abarikiwe aliebuni hiyi kitu, wale Wa vizinga tangazo sasa nimempata mkemwema, Nililizwa Sana nikaamin mapenzi ni pesaa Kumbe nilikuwa napata Malaya Malaya nikajua napendwa kumbe zinapendwa pesa...
5 Reactions
16 Replies
396 Views
Hichi kitu nikikifikiria bado majibu hayaji kichwani. Mwanamke unakuaje katika mahusiano ya dhati na mtu wako huenda mnapendana sana tu lkn huku nje mkiombwa namba mnatoa tu safi,na baadhi yenu...
10 Reactions
86 Replies
1K Views
Binafisi huwa najiuliza mwanaume unawezaje kutoboa miaka hadi 50 kwenye ndoa huna mtoto nje ya ndoa na hata mchepuko huna yaani niwewe na ulokole wewe na usabato bahati mbaya kabisa unakuta mke...
10 Reactions
70 Replies
1K Views
  • Closed
nyuzi zako nyingi unasifia ushoga hiv tatizo lako nini mkuu maana umeniacha alama ya mshangao!
1 Reactions
4 Replies
95 Views
Mpende akupendae akupendae asio kupenda achana nae kwanini ung'ang'anie mwanamke asiokupenda kudadadadeki!!! japo moyo unaopenda ila ukigungua hapa nimejichanganya kupendwa nisipopendwa jaribu ku...
3 Reactions
2 Replies
60 Views
Nchi ngumu mno hii😀💔
1 Reactions
4 Replies
138 Views
When it comes to relationship you don't get the woman you deserve. You get the woman you earn. Twende sasa. Wanaume wema, waelewa, wenye mioyo mizuri, nia njema na wanaoona uzuri tu kwa...
3 Reactions
5 Replies
157 Views
  • Redirect
Maisha ya ubachela raha hakuna usumbufu nikuish kistaa.naapa maisha yangu yote mpaka kifo sitawaipenda yeyote na ni kivunja kiapo hiki nanife...
3 Reactions
Replies
Views
Kuna hii kitu inaitwa open relationship, yaani unakua na mtu wako ( tuseme mke au girlfriend) lakini anaruhusiwa kudinywa na mtu mwingine, vivyo hivyo wewe mwanaume unaweza kudinya demu mwingine...
1 Reactions
13 Replies
190 Views
Mimi na demu wangu wote tunalinda brand hakuna anayemtafuta mwenzie tunaishi kuangalia status😂😂🙌 dah kweli hapa za kichwa tu vp wewe ndugu yangu hali yako uko…
1 Reactions
9 Replies
198 Views
Sasa nataka nilete tofauti ya wadada wa mjini na vijijini naanza na wa vijijini 1. wanapenda kupora vitu vya wanaume 2. wanapenda kwenda na wanaume zao sokoni wakichaguliwa vitu makasha n.k hua...
0 Reactions
1 Replies
109 Views
Wasalaam wakuu Kuna hili jambo nimelisikia kwa muda sasa kuwa ili mwanamke amtii mwanaume kwenye mahusiano; iwe ni urafiki wa mwanzo,uchumba ama ndoa inabidi mwanaume amzidi mwanamke hivi vitu;-...
11 Reactions
47 Replies
630 Views
Salaam wanabodi. Tukielekea kuupokea Mwezi wa mapenzi, mwezi ambao mahusiano mengi huvunjika, mengine huanza, mengine hutetereka kutokana na Visa vya hapa na pale. Sasa nimekutana na concept...
7 Reactions
94 Replies
1K Views
Kwanza naomba radhi kwa hili nitaloeleza hapa maana naenda kinyume na codes za kiume "What happens in Vegas stay in Vegas" Sio vizuri sana kuzungumza mambo yako yahusishayo wanawake mitandaoni...
19 Reactions
256 Replies
16K Views
Wanaume huwa tunavimba vichwa sana kuona mke anakuja kuomba ushauri wa mambo yake ni utiifu wa kiwango cha juu , akiwa na jambo utasikia subiri hubby aje niongee naye hafanyi jambo bila...
12 Reactions
46 Replies
490 Views
Back
Top Bottom