Matilio ndio nini wewee?Usipende kujiamlia Mambo kijana kama hujaoa nakushauri kaa mbali na mabinti wa chuo kama lengo ni kupata waifu matilio ogopa mataperi chuo hakuna waifu matilio msije kusema sijawaambia
Mbona waifu hujasema wifeKujiamlia ❌
Kujiamulia✅
Mataperi❌
Matapeli✅
Matilio❌
Material ✅
MaterialMatilio ndio nini wewee?
Unaniita mkuu na sijasoma?Mkuu kwa muandikoo huuu lazima hao wanachuo wakupige kitu kizito.
Nivile tu hatufahamiani huenda maisha Yako ni duni kuliko mbwa wanguDaah ndo unakuta nae ni mzazi, ni vile tu watoto hawana options za kuchagua wazazi 🤔
Soma kwanza ulicho andikaMkuu kwa muandikoo huuu lazima hao wanachuo wakupige kitu kizito.
Kwa uelewa wako akili zipo vidoleni?Kwa mwandiko huu,
Hivi huu uzi umeuandika kwa kutumia vidole vya mguu?
Kwa ugoko labda.Kwa mwandiko huu,
Hivi huu uzi umeuandika kwa kutumia vidole vya mguu?
Sahihi kabisaMara nyingi mabinti wa vyuoni wapo kwenye rika la ku-explore...
Ni kweli wanatakiwa kuliwa na kiachwanyie wacheni zenu sasa hao wachuo wataliwa na nani.Tatizo badala ya kula asali mnachonga mzinga,acheni zenu.
Hao student ndio kazi zenyewe,unafeli wapi baharia.
Gen z na uandishi ni mbingu na ardhi. Wana miandiko michafuu🙆♂️🙆♂️Kujiamlia ❌
Kujiamulia✅
Mataperi❌
Matapeli✅
Matilio❌
Material ✅
hasa hivi vyuo vya AI ndio balaa! kwanza hata bikra ya pua huipati..Usipende kujiamlia Mambo kijana kama hujaoa nakushauri kaa mbali na mabinti wa chuo kama lengo ni kupata waifu matilio ogopa mataperi chuo hakuna waifu matilio msije kusema sijawaambia