"Wanaume 400,000 wa mikoa minne
wafanyiwa tohara"
Serikali imesema jumla ya wanaume
400,000 kutoka mikoa minne nchini,
wamefanyiwa tohara katika kampeni
iliyomalizika hivi karibuni...
Muda wingi huwa najiuliza mbona watoto wakike wanakuwa wagumu linapokuja swala la kujitegemea kimaisha kwa maana ya kupanga nyumba na kuanzisha maisha? pengine nikafikiri labda ni waoga wa maisha...
Takriban katika maisha ya wanandoa walio wengi kama sio wote, ndoa zao hupitia katika vipindi tofauti. Kama ulivyo umri wa Binadamu, ndoa hupitia katika kipindi cha utoto, ujana na uzee, na kila...
Nimefuatilia kwa kina nakujiuliza ni kwanini
wasichana wengi kuolewa imekua tabu?
Na hii ni research nimefanya kwa wasichana na
vijana wa kiume ili nipate majibu sahihi.
Nimekuja kugundua matatizo...
Bwana we si nikatokea kumpenda mkaka mmoja hapa ofisini, muda mrefu tu umepita, sema kila nikijipendekeza alikuwa haelewei somo, basi nikaamua kuacha na hizo mambo za kumuwinda winda kila mara...
wandugu,naomba anayefahamu utaratibu wa kufungia ndoa kwa mkuu wa wilaya anifahamishe tafadhali,nahitaji sana cheti cha ndoa na haya mambo ya kanisani sijui harusi yanahitaji muda na pesa za...
jamanery naombeni, ushauri nina rafiki yangu, anakasirishwa na tabia ya mpenz wake, kila wanapokutana na mpenz wake jamaaa anatka ishu,,,, hata wakiwa ndani ya gari ucku maeneo ya kwao msichana...
Wanawake wanaotoka mbangara na gongo la mboto wana nguvu kama wanaume,.
kama unabisha jaribu na wewe kufanya research kwenye magari ya dalala yanayoelekea mbangara na gongo la mboto hasa mida...
Wale wadada wasioisha kudharau wanaume wasio na elimu ama wao hawawataki ama wanashangaa na kuwacheka rafiki zao wenye wapenzi wasioenda kidato wanapaswa kupata somo kutokakwa mwandishi nguli wa...
Unampenda, there's no shadow of doubt about it. Ila alikutenda. Yes , and it's still recurring. How can you ever forget that night you found her between the sheets with some other dude. Should...
Siku hizi ukiwa na kisingizio cha kukwepa kupigwa mzinga na wapenda kuomba hela (mabinti) kwa sababu ya kuwa mbali (but within Tanzania) utasikia, "Nitumie basi 20,000/, 50,000/=, 100,000/=, etc...
Nimezaliwa pwani ila nilipokwenda kusoma kanda ya ziwa nilishangaa maajabu tukienda kuoga robo tatu ya wavulana hawajaenda sunna.
Hii ilifanya tupendwe na wadada wa kule ambao walikuwa...
Kwa kweli nimevumilia lakini wacha tu niulize nimekua nikiona sana sana wanawake wengi wakiingia kwenye ujane wengi wao wanapendeza na kunawiri sana tofauti na hapo awali kabla ya kuondokewa...
Asanteni kwa kuja, siyo jambo kubwa sana ila nakumbuka tu siku ya kuzaliwa kwangu iliyo muhimu, nasema ni muhimu kwa kuwa ya kufa siijui hivyo sina budi kwendelee kuikumbuka hii ambayo ndiyo siku...
Najiamini sana na najiheshimu na kumheshimu sana.
Lakini nasikitika jana kaniambia ameniwekea tego.
Je ni halali kumwekea gal friend wako vitu vya ushirikina kama hivyo?
Je nifanye test...
Natumaini mu wazima, ni mwaka 1 sasa toka tumefunga ndoa na mwenza wangu na tumejaliwa mtoto mmoja.
Na sote ni wafanyakazi, tatizo huyu mume wangu hanishirikishi katika kila analolifanya, mfano...
WAKUU HABARI ZA IJUMAA.ngoja niende moja kwa moja.NAJUA WENGI MNAJUA HUU USEMI BINAMU NYAMA YA HAMU.hivi kumlala binamu sikama kumlala ndugu yako,japo naskia katika kuruani kitu kimealalishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.