mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 638
tunanihii gani tena rafiki?Mhhh. FP si useme tu? Tule tunanihii tunatumika kuseti nywele. Im glad im a soldier aisee. Ulimbwende kazi haswaa.
ha haaaa, besti umenikumbusha bambucha, lol!bambucha
mshikachuma, hiyo unaweza
1. kutumia texturizer, ukipata muwekaji mzuri zinatokea hivyo; au
2. kama una nywele natural ambazo ni laini unaweza kutumia activator baada ya kuziosha, kuzichana, unaweka activator yako then unachana kwa vidole, lol!
namba 2 huwa naitumia, hiyo siyo permanent, ukiosha tu imekwisha, ila namba 1 ni permanent
kama ana nywele natural anaweza kufanya hivyo, lakini kama alishaziweka relaxer maana yake zilishakuwa straight haitawezekanaDu ni poa, ngoja nami nimshauri mama ngina atokelezee, siku ya birthday yake namlipia atengeneze hivyo.......Ha ha ha, itaongeza mapenzi
View attachment 91453
Hii ni style gani? Naona now days kila mdada anayo kichwani...si ulaya si Africa. Nipeni jibu.
ahaaa ile ilikuwa noma aisee utadhani unanengua fm academia!ha haaaa, besti umenikumbusha bambucha, lol!
unakumbuka sazuu ya chokaa?mshikachuma, hiyo unaweza
1. kutumia texturizer, ukipata muwekaji mzuri zinatokea hivyo; au
2. kama una nywele natural ambazo ni laini unaweza kutumia activator baada ya kuziosha, kuzichana, unaweka activator yako then unachana kwa vidole, lol!
namba 2 huwa naitumia, hiyo siyo permanent, ukiosha tu imekwisha, ila namba 1 ni permanent
au Chizi au jini mahaba.Tunaopenda natural ngoja tukae pembeni.Kichaa.
bambucha
ha haaa, si mchezoahaaa ile ilikuwa noma aisee utadhani unanengua fm academia!
ile ilikuwa noma besti.....unakumbuka sazuu ya chokaa?
ahahaaa sister ngu alikuwa anaipaka sana iyo .. ila kigae cha chungu kinanyoosha nywele vizuri kweli jamaniile ilikuwa noma besti.....
ila sasa ilikuwa inafanya nywele zinakuwa straight kupita zilizolambwa na mbwa.....
thanx God sikuwahi kutumia, maana chokaa ilikuwa expensive, sikuweza kuafodi......
mbadala ilikuwa kuchoma na kigae cha chungu, lol!