Ikiwa imepita kama mwezi mmoja na nusu toka jamaa yangu mmoja aoe amepitia katika kipindi kigumu sana katika maisha haya ya muda mfupi ya ndoa yake.
Iko hivi ni ndugu yangu ambae niko nae mtaa...
Habari yako msomaji wa uzi huu,
Kuna tabia fulani kubwa sana kwetu sisi wanaume, mwanamke ukipishana nae barabarani lazimi mwanaume ageuke amwangalie mwanamke kwa nyuma.
Tujadili kwa pamoja...
Kuna binti mmoja, alinizoea nikamgegeda. Akasema imetokea bahati mbaya, na eti anayeampendae. Nikakaa mbali nae. Siku kadhaa tukakutana, kajiingiza kingi nikamgegeda tena.
Akaahidi, hiyo itakuwa...
Wadau,
Mara ya mwisho nilikuja kuomba ushauri juu ya mdogo wangu alietaka kuolewa na mission town na mimi kukataa thank god baadae binti alielewa na tukalikataa lile jamaa,kumbe jf ikitumika...
Naandika hii post kwa hisia nzito kwa watoto wa kike especially ambao wameshapevuka na wamevuka umri wa miaka 18.
Okay ni hivi destiny kwa kiswahili ni hatima au mwishoni.
Akina dada nawapenda...
Wanaume naomba majibu kwenye hili, maana nimeona masela wengi wanang'ang'ana na bia bar kuliko wanavyong'ang'ana kuja na wake zao bar.
Siyo lazima mwanamke anywe ila ni vizuri akawa karibu yako...
Siku moja nilikuta watu wakibishana kama mapenzi yana hali ya upofu ama hapana. Wale waliokuwa wakiamini mapenzi yana upofu wanasema wanaamini hivyo kwa sababu mtu anayependa hata kama anayempenda...
Sasa ni zaidi ya miaka miwili toka niwe member wa hii forum. Kiujumla imenisaidia kupunguza stress maana vitu vya kuchekesha ni vingi na vya kusikitisha vichache.
Nimebahatika kuwafahamu uso kwa...
Ni hivi nilikuwa na mpenzi kweli alinipa kila kitu.Sasa tumekuwa hatuelewani kila mara ikafika kipindi ikabidi tuachane na yeye ndio alishauri hvy na kweli akabadili mpaka line ya simu.
Baada ya...
Habari zenu MMU.
Kwanza naomba kuwashukuru kwa michango yenu ya ushauri kuhusu mkasa mzima wa wachumba zangu wawili.
Kama mnakumbuka nilimchagua mmoja na akaomba muda wa kunipa jibu.
Ilikuwa...
Wanajamvi,
Sidhani kama kuna ambaye hajawahi kujikuta kwenye majibizano na mpenzi wake. Hata wakati mnaingia katika mlipuko wa majibizano hata mnashindwa kujua sababu ya kujibizana kwenu.
Vitu...
Nimekuwa nikiambiwa na kijana wa kazi kuwa mke wangu huniwekea dawa kwenye chai.Nimefanya utafiti na kubaini kuna ukweli.
Hivi nifanyeje? Nimuache nashindwa nifanyeje.
Advice please stop jokes
Mambo vip wanaume wenzangu?
Ebu tupeane mawazo kidogo hapa kuhusu tabia{chemistry}za wadada.
Kuna visa viwili kuwahusu wadada wawili ambao nliwatongoza kwa nyakati mbili tofauti,wa kwanza...
Habari wakuu!
Katika pita pita yangu na harakati ya kutafuta mke niliweza kuonana na binti mmoja kweli nilimpenda na tulianza mawasiliano nae baadae alinitembelea ninapoishi.
Kitu cha ajabu siku...
Mara nyingi na kwa walio wengi (sio watu wote) mapenzi ya kwanza (1st love) huwa yanawaacha na maumivu makali sana ambapo wapo wanaodiriki kunywa sumu ili wafe pindi inapotokea...
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa?
Hivi huwa ni tatizo...
Katika ulimwengu huu ambapo UBINAFSI umetawala mioyoni mwa watu ambapo hata kwenye Mahusiano watu wanaangalia mwisho wa yote watajinufaisha vipi na Mahusiano hayo.Si wanawake si wanaume,wote...
Kama nilivyowahi kuwaambia humu kwamba mi sio muajiriwa, nimejiajiri mwnyw na kwa lugha ya siku hizi nitajiita mjasiriamali.......wiki zilizopita nilisafiri kwenda kwenye ule mkoa ambao watu wake...
Nina mpenzi wangu anayeshi na wazazi wake, tulidumu nae kwa muda wa miezi kumi(10) hadi sasa.
Kwa sasa nipo mbali nae kwa muda wa miezi mitatu ila huwa tunawasiliana kupitia simu, pia tulipanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.