BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,188
- 14,346
Mmetuaminisha kuwa hakuna mapenzi bila pesa tumekubali tukaamua kuwekeza nguvu na muda kutafuta pesa.
Unakuta mtu siku umeokota kibunda chako umesolve vipengele vyako bahati nzuri umebakiwa na kachenji kidogo unasema leo wacha ni enjoy maisha kichwani unawaza vitu viwili tu pombe na wanawake.
Unapiga zako beer vizuri unasema wacha nitafute pisi yakunipa burudan unachagua pisi yenye mwonekano bomba ila unakuja kugundua pisi haina maajabu yoyote as if imelazimishwa Kuwa muuzaji.
Pisi haipo romantic hakuna anachokijua zaidi ya kujilaza tu sasa unajiuliza huyu mtu yupo serious kwenye fani yake maana hata kutuma salamu mpaka mgombane na hapo umetoa dau la kueleweka kudeal na watu wa aina hii ni matumizi mabaya ya pesa.
Ukikutana nao jinsi wanavyojibrand kuvuta wateja kumbe ni takataka tupu
Unakuta mtu siku umeokota kibunda chako umesolve vipengele vyako bahati nzuri umebakiwa na kachenji kidogo unasema leo wacha ni enjoy maisha kichwani unawaza vitu viwili tu pombe na wanawake.
Unapiga zako beer vizuri unasema wacha nitafute pisi yakunipa burudan unachagua pisi yenye mwonekano bomba ila unakuja kugundua pisi haina maajabu yoyote as if imelazimishwa Kuwa muuzaji.
Pisi haipo romantic hakuna anachokijua zaidi ya kujilaza tu sasa unajiuliza huyu mtu yupo serious kwenye fani yake maana hata kutuma salamu mpaka mgombane na hapo umetoa dau la kueleweka kudeal na watu wa aina hii ni matumizi mabaya ya pesa.
Ukikutana nao jinsi wanavyojibrand kuvuta wateja kumbe ni takataka tupu