Kama itakumbukwa kuna siku niliwahi kulete thread humu kuwa nimemfumania muuza njegere na house girl wetu.
Sasa hapo baadae kidogo mambo yakaisha sasa juzi yule house girl baada ya muda akaja...
wale wenye matusi naombeni samahani Mungu anawaona
kama mnavonijua mimi ni mdada mtu mzima kabisa na akili zangu timamu,nimeamua kuishi maisha ya heshima sema tatizo marafiki wananiharibia plan...
Ninaowapata ni wa kwenye mitandao, wapo mbali hivyo tunaishia tu kuchatchat siku inaisha. Ninaowapata mtaani huwezi wafanyia promotion yoyote maana wanaonekana tu wapigaji.
Upweke nao unatesa...
Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA!
Mwandishi: SEID BIN SALIM.
Mwanzo
Kumbu kumbu.....
"Mama!, Kila siku nakuuliza kuhusu baba yangu yuko wapi hunijibu na kunambia utanambia utanambia utanambia, nna...
"MKASA"
NILIIBA MTOTO KWENYE WODI YA WAZAZI ILI NITUNZE NDOA YANGU
Nilikua nafanya biashara ya kuuza mwili wangu, kila aliyetaka kunitumia alipanda dau awezavyo! Kwa siku...
Natumai hamjambo na mnaendelea na kukulu kakala za utafutaji,
Ni miaka 6 sasa nilipokutana na binti mipakani nikifanya biashara Enzi hizo ilikuwa ni biashara za magendo Kasumuru/Tunduma pia yeye...
Habari wanajamii wenzangu,
Kama kichwa kinavyojieleza, kuna manzi alikuwa ananifuatilia kuanzia 5 mwaka huu kwa maana alikuwa ananitaka tuwe wapenzi, juzi kati nikawa nimemkubalia lakini...
MPENZI msomaji wangu, ulimwengu wa sasa wa kimapenzi umetawaliwa na sarakasi nyingi sana. Mapenzi ya sasa ni tofauti kabisa na yale ya zamani. Kila mmoja amekuwa na mapenzi ya kisanii, hakuna hata...
Kuna bwana miaka 50+ mwana usharika mzuri tu na familia yake, miaka iliyopita mke wake alifariki wa ugonjwa wa saratani, kwenye ndoa ile walifanikiwa kupata watoto watatu wa kiume. Yule mzee...
Apo chacha!
Leo ningependa tushirikiane wanaJF wote kufanya tafiti ili tuweze kuwa na takwimu mathubuti, tafiti yetu ina lengo la kutaka kupata picha ni kwa namna gani watanzania wanachepuka na...
Habari wanandugu.
Nina miaka 30 sasa chini ya jua hili. Naishi peke yangu. Sina mchumba wala mpenzi ila natamani sana kama niwe na mwenzangu japo wa kubadilishana nae mawazo usiku lakini moyo...
Mwenyenzi Mungu yupo na anajibu dua zetu.leo nimepata habari njema sana katika maisha yangu, i can wait to sleep in my new bed with new dreams! i wish my mr right angekuwepo hapa leo.
Kwa wale...
Wapendwa habarini....
Kwa sasa kama kunakitu nakiogopa basi wanadunia hii ya Leo. Huwa najiuliza inakuaje MTU anampa thamani na matunzo ya hali ya juu MBWA kuliko hata huosegirl wake.
Jamani...
Mimi naamini ukiwa na mpenzi wako wa kike ukimtimizia haya basi roho yake itatulia..
1. Mpatie hela ya kutatua mahitaji yake. Usisubiri akuombe mana wengine kuomba hawawezi.
2. Mfikishe kileleni...
Mnamo tarehe 25 Julai 2010 majira ya asubuhi, tajiri mmoja maarufu aliyetambuliwa kwa jina la Bwana Kizito alikutwa ameuawa nyumbani kwake kwa kupigwa na kitu kizito kichwani alipokuwa sebuleni...
Nmejalibu kila namna nmeshindwa had najikuta mm ndo namtukna tena huku mm bado ndo nilimpiga na sio Mara mbili zote kanisameh hii ya tatu ataki kabisa hta kuonana na mm na nikipigia cm apokei...
WANANDOA WATAKAOISHI PAMOJA LAZIMA WAWE ENEO MOJA LA KAZI.
umuhimu wake.
1.watatimiziana haja za ndoa yao barabara na kwa wakati muafaka
2.inapunguza vishawishi vya usaliti na migogoro
3.hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.