Mr mgeni
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 1,222
- 803
Mke wangu ni mfanyabiashara nikichukua kitu dukani nisipolipa ananiandika kwenye daftari haoni hata aibu.
Nikitoka kazini lazima anikumbushe deni namnukuu" samahani mume wangu nakudai sh.----, ila nimekukumbusha tu samahani lakini"
Hivi nanyi ambao wake zenu ni wachumi wanawafanyia kama huyu wangu? Na nyie wakina dada jamani kwanini mnakua hivyo unamdai mme wako hadi anakosa raha.
Nikitoka kazini lazima anikumbushe deni namnukuu" samahani mume wangu nakudai sh.----, ila nimekukumbusha tu samahani lakini"
Hivi nanyi ambao wake zenu ni wachumi wanawafanyia kama huyu wangu? Na nyie wakina dada jamani kwanini mnakua hivyo unamdai mme wako hadi anakosa raha.