Ubuntuwize
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 312
- 93
Wakuu wanajamvi habari zenu?
Bila kupoteza muda na ukizingatia mmetoka katika msimu wa Pasaka basi nisiwachoshe, naomba niende moja kwa moja katika mada,
Mimi ni kijana(Me) amabae sijao bado. Sasa kutokana na kuwa kwe mahusiano kadhaa yasio kuwa na mafanikio sana kipindi cha nyuma nikiwa katika jiji la Dar es Salaam baadae nilihamishwa kikazi kwenda mkoani ambako ninaishi kwa sasa.
Nimekuja mkoani huku takribani miezi 5 kwa sasa, basi nilivyofika hapa kazini nikapata msichana ambae kwakweli nikaanza kumpenda (sijui kwa ajili ya ukaribu wetu?) Sasa wakati tunaanza nae mahusiano akaniambia anamsela wake ambae kamuacha mkoa mwingine.
Mimi nikamwambia isiwe kesi wacha tufanye yetu na kwa bahati mbaya au nzuri nikaendelea kumega tunda huku bado msichana akiwa anaongea na jamaa kwenye simu sometimes na mimi nikiwepo (sababu nafahamu).
Sasa issue hapa inakuja wapi? Sasa hivi nahisi nanza kumpenda na sioni dalili ya huyu msichana kumuacha mpenzi wake wa zamani kwa sababu hata akipata likizo kidgo huenda kumpelekea mshkaji. Ila ukimuuliza anadai eti ananipenda mimi. Wazee naombeni ushauri wenu maana hapa naona sasa nazidiwa nguvu mtoto wa kiumeni.
Nb: Tunaishi nyumba moja kwa miezi 2 sasa
Bila kupoteza muda na ukizingatia mmetoka katika msimu wa Pasaka basi nisiwachoshe, naomba niende moja kwa moja katika mada,
Mimi ni kijana(Me) amabae sijao bado. Sasa kutokana na kuwa kwe mahusiano kadhaa yasio kuwa na mafanikio sana kipindi cha nyuma nikiwa katika jiji la Dar es Salaam baadae nilihamishwa kikazi kwenda mkoani ambako ninaishi kwa sasa.
Nimekuja mkoani huku takribani miezi 5 kwa sasa, basi nilivyofika hapa kazini nikapata msichana ambae kwakweli nikaanza kumpenda (sijui kwa ajili ya ukaribu wetu?) Sasa wakati tunaanza nae mahusiano akaniambia anamsela wake ambae kamuacha mkoa mwingine.
Mimi nikamwambia isiwe kesi wacha tufanye yetu na kwa bahati mbaya au nzuri nikaendelea kumega tunda huku bado msichana akiwa anaongea na jamaa kwenye simu sometimes na mimi nikiwepo (sababu nafahamu).
Sasa issue hapa inakuja wapi? Sasa hivi nahisi nanza kumpenda na sioni dalili ya huyu msichana kumuacha mpenzi wake wa zamani kwa sababu hata akipata likizo kidgo huenda kumpelekea mshkaji. Ila ukimuuliza anadai eti ananipenda mimi. Wazee naombeni ushauri wenu maana hapa naona sasa nazidiwa nguvu mtoto wa kiumeni.
Nb: Tunaishi nyumba moja kwa miezi 2 sasa