Nimepata msichana mwenye mwanaume mwingine

Nimepata msichana mwenye mwanaume mwingine

Ubuntuwize

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
312
Reaction score
93
Wakuu wanajamvi habari zenu?

Bila kupoteza muda na ukizingatia mmetoka katika msimu wa Pasaka basi nisiwachoshe, naomba niende moja kwa moja katika mada,

Mimi ni kijana(Me) amabae sijao bado. Sasa kutokana na kuwa kwe mahusiano kadhaa yasio kuwa na mafanikio sana kipindi cha nyuma nikiwa katika jiji la Dar es Salaam baadae nilihamishwa kikazi kwenda mkoani ambako ninaishi kwa sasa.

Nimekuja mkoani huku takribani miezi 5 kwa sasa, basi nilivyofika hapa kazini nikapata msichana ambae kwakweli nikaanza kumpenda (sijui kwa ajili ya ukaribu wetu?) Sasa wakati tunaanza nae mahusiano akaniambia anamsela wake ambae kamuacha mkoa mwingine.

Mimi nikamwambia isiwe kesi wacha tufanye yetu na kwa bahati mbaya au nzuri nikaendelea kumega tunda huku bado msichana akiwa anaongea na jamaa kwenye simu sometimes na mimi nikiwepo (sababu nafahamu).

Sasa issue hapa inakuja wapi? Sasa hivi nahisi nanza kumpenda na sioni dalili ya huyu msichana kumuacha mpenzi wake wa zamani kwa sababu hata akipata likizo kidgo huenda kumpelekea mshkaji. Ila ukimuuliza anadai eti ananipenda mimi. Wazee naombeni ushauri wenu maana hapa naona sasa nazidiwa nguvu mtoto wa kiumeni.

Nb: Tunaishi nyumba moja kwa miezi 2 sasa
 
Ataenda huko atabeba mimba halafu utaambiwa unapendwa
utalea mimba kwa kuwa unaambiwa unapendwa utaona sawa

utafanyaje kwa kuwa uhakika wa maziwa unayo hutaki kufuga ng'ombe

kama unampenda kamtolee barua kwao kisha huyo wa huko atareact utajua nani anapendwa zaidi
 
Hapo hakuna shida provided hajaolewa sasa basi, wewe,huyo demu na mshikaji wake wote ni wafuska tu..so endeleeni na ufuska wenu
 
Mpe challenge kwanza mwambie unataka ukatoe mahali kwao tuona atakuwambiaje???

Kingine hapo hata ukioa ujue mtachangia sana hicho KINU kutwanga mwisho wa siku waweza Lea mimba ambayo sio yako.

Kingine kama yupo tayari kuwa na wewe muoe halafu chukua lain yake ivunje ninavyomjua hajakariri hiyo no ya jamaa yake kwa kufanya hivyo utakuwa umepunguza tatizo lakini sio kulitatua kabisa.

Mwisho ukitaka wa kwako peke yako kata mgomba umfunikie asionekane.
 
Yaani unaishi nyumba moja na mwanamke afu anakipeleka kwa mwanamme mwingine ? Mwambie aachane na bwana ake inshort kinukishee
Ushauri wa kibabe, mwizi anakuwa mbabe mbele ya mwenye Mali

Hahahahaha ukitaka cha uvunguni shalti uiname, msela kaomba mzigo kapewa lakini kapewa kabisa namachaguo kuwa ana mpenzi wake na anampenda kwa hiyo kama anataka awe spare tairi aunge tela na yeye kaunga hakuna lawama hapo hahahahahahaha
 
hapo cha kufanya endelea kupiga huku unatafuta wife material mwingine zen mwambie unataka kuoa lakn yeye ataolewa na huyo fala wake anaempelekeaga kila likizo tofauti na hapo eti ukomaenae utapigiwa sana
 
Back
Top Bottom