Kuna faida gani kuishi muda mrefu?

Kuna faida gani kuishi muda mrefu?

Kwa mfano mtu aliyekufa akiwa na miaka 50, mwingine akafa na miaka 80. Baada ya wote kufa...watakuwa wanafaida au hasara gani?
Hakuna faida yoyote wewe jinyonge tu ufe wala hakuna hasara ila kuna faida ya rambirambi kwa waliobaki.
 
Kuishi muda murefu kunafaida ila kwa ratio kama ulizoweka hizo.

1) muda mrefu unapata muda wa kustuka na kumrudia mungu endapo mungu akikujaaria.

2)kula mafanikio yako, kwa mtu kama mengi faida kwasababu anaspend mafanikio yake.

3)kupata muda mrefu wa kuwawekea misingi na utaratibu watoto wako.
 
Kufa mapema ukose vingi chelewa kufa uone mengi
 
Kwa mfano mtu aliyekufa akiwa na miaka 50, mwingine akafa na miaka 80. Baada ya wote kufa...watakuwa wanafaida au hasara gani?
Life is an illusion... Life has no meaning, hakuna sababu ya kwanini tunaishi!? Wala tunaishi ili iweje sasa?
 
Major Factors
Kuishi muda murefu kunafaida ila kwa ratio kama ulizoweka hizo.

1) muda mrefu unapata muda wa kustuka na kumrudia mungu endapo mungu akikujaaria.

2)kula mafanikio yako, kwa mtu kama mengi faida kwasababu anaspend mafanikio yake.

3)kupata muda mrefu wa kuwawekea misingi na utaratibu watoto wako.
 
Inategemea ulitimiza vipi makusudio ya kuumbwa kwako
 
Kuishi muda murefu kunafaida ila kwa ratio kama ulizoweka hizo.

1) muda mrefu unapata muda wa kustuka na kumrudia mungu endapo mungu akikujaaria.

2)kula mafanikio yako, kwa mtu kama mengi faida kwasababu anaspend mafanikio yake.

3)kupata muda mrefu wa kuwawekea misingi na utaratibu watoto wako.
Simaanishi faida kwa watu waliobaki, ila faida kwa wale waliokufa. Yaani aliyekufa na 40 na aliyekufa na 80 baada ya kufa nani ana faida na nani ana hasara na ni zipi?
 
Back
Top Bottom