Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Natafuta mchumba lakini awe na vigezo vifuatavyo; 1. Awe na umri kuanzia miaka 20- 25 tu. 2. Awe anajua kusoma vizuri na kuandika. 3. Awe anajua kupika vizuri na kufua vizuri. 4. Awe msafi kuanzia...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
1. Hauwezi kumpenda mtu ambae yeye mwenyewe hajipendi. 2. Mtafute MUNGU kisha tafuta mwanamke bora. Ukiwa na hayo mambo mawili, suala la hali ngumu ya uchumi binafsi (financial freedom)...
8 Reactions
13 Replies
1K Views
Uwe mchangamfu Uwe na akili ya maisha,namaanisha mfano hata kama sio msomi wa degree unaweza piga mission unapata hela. Ujue kutafuta hela Ujipende.uwe smart kimuonekano na kiakili Uwe na upendo...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Kumekiwepo na malalamiko, sijui nguvu za kiume, hadi watu wanauza dawa eti zinaongeza nguvu za kiume hadi Massa 3. Ninacho jiuliza, kwanini simba na nguvu zake, misuli etc anatumia chini ya dk...
28 Reactions
113 Replies
18K Views
Jana nilileta humu uzi uliokuwa nakichwa chahabari 'ADUI WAMWANAMKE NIMWANAMKE MWENYEWE' banabana [emoji85] [emoji85] [emoji85] kumbe yule manzi wangu nayeye yumo humu. Nilipoipost ule uzi...
1 Reactions
57 Replies
3K Views
Marehemu Anni Dewani Marehemu Anni Dewani na mumewe Shrien Dewani siku ya ndoa yao Eneo la tukio yalipotokea mauaji hayo Mziwamadoda Qwebe (pichani kushoto) alihukumiwa kifungo cha miaka...
16 Reactions
60 Replies
12K Views
Leo sisi ndiyo tunasherhekea Mei Mosi. Miaka mingi kidogo nilisoma hii story kwenye vitabu vya Danille Steel. Baba mmoja tajiri sana mtu mzima alikuwa na mke mzuri. Tofauti yao ya umri ilikuwa...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Achana nae .. Unalala, haupati usingizi juu ya mtu ambae huenda amelala na mtu mwingine muda huu kwa amani tele. Achana nae! Unaangalia simu yako sasa hivi ukisubiri text ya mtu ambae unamuona...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Kumekuwa na kasumba kubwa sana kwa wanawake wa ki bongo kukimbilia kunawa chini kabla tu hamujaanza kugegenana. Wengi wao husema kuwa mara wametembea sana hivo jasho mara ooh siko konfotabo n.k...
3 Reactions
88 Replies
18K Views
★1. Kuvaa nguo za ajabu ajabu kama changudoa. Sijui ni nani aliyewaambia kuwa mkivaa hivyo mnapendeza! ★2. Kujipaka marangi ya ajabu ajabu usoni kama mwali wa kimakonde au kizaramo kwanza...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, hii ni habari ya kweli.. Nina mdogo wangu mtoto wa mama mdogo, huyu dogo hua hatuko jirani kivile ula hua tunawasiliana hasa kwenye maswala yake ya kazi akipata changamoto hua ananicheki...
10 Reactions
81 Replies
8K Views
Huu mtindo sijui wameutoa wapi wadada wajawazito siku hizi ni kama wanatembea uchi tu, Utakuta wameshona vigaumi vyao flani hivi vya kitenge vimechanua alafu urefu vinaishia mapajani upepo...
1 Reactions
29 Replies
7K Views
Ni binti ambae nimekua nae kwenye mahusiano kwa muda wa miaka miwili sasa.Huyu binti nilimpata kipindi anamalizia masomo yake ya chuo kikuu na wakati naingia nae kwenye mahusiano ndio alikua...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Jf people how are you? Wanaume siku zote na wanawake hakuna asiyependa mapenzi. Kwa hiyo hutafuta wamiliki wa mioyo yao. Ila kuhusu mitandao woi sioni kama ni sehemu sahihi kumpata mwenza wako. So...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Utakutana na msichana mzuri na mwenye muonekano wa kuvutia, akiwa na rika la kuanzia miaka 23 hadi 26 lakini mawazo yake ni mgando. Anatumia uzuri wake kama chombo cha kubadilisha mabwana na...
6 Reactions
50 Replies
8K Views
Ukikubaliwa na binti, juwa kamati ya mashonga zake wamepitia CV zako [emoji126][emoji126][emoji126]
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Mtu Umeamua kuachana na mwenza wako, na unahitaji kuwa singo nini ufanye usijiingize kwenye mapenzi kabisa? Je ni kweli inawezekana?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mdada Kama kila siku Iendayo kwa Mungu, Mumeo au Boyfriend wako ni sababu ya wewe kulia na kuumia na mapenzi (Usaliti). Stop crying, Futa machozi yako na Uvae Vizuri, kisha Funga safari na Uende...
1 Reactions
49 Replies
13K Views
Ivi walio na kucha ndefu za mikononi mnafanyaje usafi, mnakula vipi, mnafua vipi, pia nani kawaambia mnapendeza mkiwa na mikucha mirefu kama mashetani ya kwenye movie za kinigeria.? Cha ajabu kwa...
10 Reactions
116 Replies
14K Views
Hapana limenikereketaaa nikaona ngoja nililete jamvini.. Habari zenu wanajamvi. Iko hivi na date na wanaume ambae apo nyuma aliishi na mwanamke wake bila ndoa na mahari alipeleka ukweni...
12 Reactions
184 Replies
16K Views
Back
Top Bottom