Suala la nyongeza kwa wafanyakaz liangaliwe kwa jicho la tatu

Nyox official

JF-Expert Member
Feb 12, 2019
597
451
Naandika haya nkiwa na huzun kubwa,naomba tu nijitambulishe kuwa mm si mfanyakaz wa umma ila kwa kwa mtizamo wangu ulio chanya kabixa naona kuna underground movement kubwa especial kada ya ualimu ambao ss iv imekua punching bag kwa politician kuja kupumzikia!iko iv mm nipo kanda yetu penda kanda ya ziwa kikazi ila c mwenyej sanaa,kuna ndugu yangu kapangwa ajira mwaka jana kanda hii mkoa mmoja!cha ajabu juz walifunga shule na kuja kuweka kambi kwangu, yy kidogo yuko sehem ambayo n remoteness kidogo.Kwa story alizonipgia kwa kwel kunahitaji reform kubwa sanaa kweny mfumo wetu wa Elimu!alinambia,nanukuu"shule zote zilizo interior huwa afisa elimu mkoa anahakikisha majibu yote ya darasa la saba yanapelekwa na wakuu washule ndo champions wa uvujishaji huo na ukionekana uko kinyume na afisa elimu,eiher ujengewe zengwe uondoke au ushushwe cheo"mwsho wa kunukuu.Kwa kwel kama ndo ivi tunavoenda cjui tutakua na taifa la watu wa aina gani!amefkia stag ananambia nusu ya wanafunz wa darasa la saba na la sita hawajui kusoma wala kuandika kwa hyo hata suala la kuwapa majibu nalo n kazi!afu ukishuka chn huk madarasa ya chin ndo kabxaa wanaongea lugha ambazo mbunge wetu aliziita mother toungue.kwel nmesikitika sanaa kwa haya wanayofanya wanasiasa kwan kwa ss waalimu wanafanya tu bora liende na ukitaka kujua wanafanya makusudi watoto wao wapo englsh medium ila hao wa wanyonge nyo wanalishwa matango porI

Nawasilisha,mwenye ushaur au maon anaweza kuweka hapa ili tujue namna ya kukinusuru hiki kizazi
 
Kataa kuwa mtumwa, jitume....Fanya mpango wa kutafutwa na wanaotafuta kazi
 
modz ningeomba kama inawezekana uzi,uamishiwe kule kweny jukwaa letu pendwa la siasa
 
Back
Top Bottom