Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Huu mtindo sijui wameutoa wapi wadada wajawazito siku hizi ni kama wanatembea uchi tu,
Utakuta wameshona vigaumi vyao flani hivi vya kitenge vimechanua alafu urefu vinaishia mapajani upepo kidogo ukipiga mapaja yote wazi sometime mpaka chupi inaonekana,
Wengine ndio wanashinda kupiga picha za matumbo yao na kupost Insta aiseee wacha niishie hapo.
Cc Zero IQ.
Utakuta wameshona vigaumi vyao flani hivi vya kitenge vimechanua alafu urefu vinaishia mapajani upepo kidogo ukipiga mapaja yote wazi sometime mpaka chupi inaonekana,
Wengine ndio wanashinda kupiga picha za matumbo yao na kupost Insta aiseee wacha niishie hapo.
Cc Zero IQ.