Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
DEAR LADIES.... Kama umechoshwa na text za majamaa huko inbox/ pm / dm.
Kila ukijitahd kuwakataza Hawakuelewi Ukimblock huyu mwingine anakuja Kabla hujaanza kuja kutuambia huku basi I have a tips for You. Naamini itakusaidia sana.
1. Ingia room kwako
2. Vua Wigi,Toa Weave,Toa na kope bandia
3. Ingia Bafuni
4. Safisha sura kwa maji, jikaushe vizuri kwa Taulo..
5. Chukua simu
6. Piga picha
7. Usitumie app yoyote ku edit..
8. Upload picha yako kwenye social networks zako.
9. HAKUNA ATAKAYEKUSUMBUA TENA LABDA UWE KATI YA WALE WACHACHE WENYE UZURI USIOHITAJI BACK UP.
Kila ukijitahd kuwakataza Hawakuelewi Ukimblock huyu mwingine anakuja Kabla hujaanza kuja kutuambia huku basi I have a tips for You. Naamini itakusaidia sana.
1. Ingia room kwako
2. Vua Wigi,Toa Weave,Toa na kope bandia
3. Ingia Bafuni
4. Safisha sura kwa maji, jikaushe vizuri kwa Taulo..
5. Chukua simu
6. Piga picha
7. Usitumie app yoyote ku edit..
8. Upload picha yako kwenye social networks zako.
9. HAKUNA ATAKAYEKUSUMBUA TENA LABDA UWE KATI YA WALE WACHACHE WENYE UZURI USIOHITAJI BACK UP.