Tunda la katikati

Tunda la katikati

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,762
Tokea dunia iwepo binadamu aumbwe wa kwanza alishindwa kuwa jasiri mbele ya hili tunda akavunja maagano na muumba.

Hatimae wakatoka kwenye starehe .

Nakutafuta kwa jasho.

Samson alitoa siri yake za nguvu zake kisa tunda.

Sulemani alioa nakuoa nakuoa kisa kula tunda tofauti lakila rangi.

Mpaka na leo watu wanauana kisa tunda hili hili.

Hata ukitaka kazi nzuri unapata kisa tunda hili hili.

Chochote ukitaka kwa muda wowote ukitoa tunda unapata .

Mwanaume ameshindwa kuwa mjasiri kws hili tunda.

Ndoa zinavunjika nakuimarika kisa hili tunda.

Kwa hiyo ndugu zangu kwenu nyie tokea dunia iwepo nyie hamna ujasiri kwenye hili.

Je, mnakataa?
 
Naye yule.....akawanywesha mvinyo mataifa(JF) hata alipohakikisha wamewaza na kutenda yaliyo maovu katika ulimwengu(majukwaa).......mimi 00:27
 
Saa sita na nusu hii usiku.

Embu kalale mtoto.
Tokea dunia iwepo binadamu aumbwe wa kwanza alishindwa kuwa jasiri mbele ya hili tunda akavunja maagano na muumba.
Hatimae wakatoka kwenye starehe .
Nakutafuta kwa jasho.
Samson alitoa siri yake za nguvu zake kisa tunda.
Sulemani alioa nakuoa nakuoa kisa kula tunda tofauti lakila rangi.
Mpaka na leo watu wanauana kisa tunda hili hili.
Hata ukitaka kazi nzuri unapata kisa tunda hili hili.
Chochote ukitaka kwa muda wowote ukitoa tunda unapata .
Mwanaume ameshindwa kuwa mjasiri kws hili tunda.
Ndoa zinavunjika nakuimarika kisa hili tunda.
Kwa hiyo ndugu zangu kwenu nyie tokea dunia iwepo nyie hamna ujasiri kwenye hili.
Je mnakataa???
 
Tokea dunia iwepo binadamu aumbwe wa kwanza alishindwa kuwa jasiri mbele ya hili tunda akavunja maagano na muumba.
Hatimae wakatoka kwenye starehe .
Nakutafuta kwa jasho.
Samson alitoa siri yake za nguvu zake kisa tunda.
Sulemani alioa nakuoa nakuoa kisa kula tunda tofauti lakila rangi.
Mpaka na leo watu wanauana kisa tunda hili hili.
Hata ukitaka kazi nzuri unapata kisa tunda hili hili.
Chochote ukitaka kwa muda wowote ukitoa tunda unapata .
Mwanaume ameshindwa kuwa mjasiri kws hili tunda.
Ndoa zinavunjika nakuimarika kisa hili tunda.
Kwa hiyo ndugu zangu kwenu nyie tokea dunia iwepo nyie hamna ujasiri kwenye hili.
Je mnakataa???


Pale kati patamu.

Credit:- Ney wa Mitego.
 
Hivi Mkuu hii nafasi au matunda yanapatikana kwako tuje kununua au kuonja!!![emoji849][emoji849][emoji849]
 
Tokea dunia iwepo binadamu aumbwe wa kwanza alishindwa kuwa jasiri mbele ya hili tunda akavunja maagano na muumba.
Hatimae wakatoka kwenye starehe .
Nakutafuta kwa jasho.
Samson alitoa siri yake za nguvu zake kisa tunda.
Sulemani alioa nakuoa nakuoa kisa kula tunda tofauti lakila rangi.
Mpaka na leo watu wanauana kisa tunda hili hili.
Hata ukitaka kazi nzuri unapata kisa tunda hili hili.
Chochote ukitaka kwa muda wowote ukitoa tunda unapata .
Mwanaume ameshindwa kuwa mjasiri kws hili tunda.
Ndoa zinavunjika nakuimarika kisa hili tunda.
Kwa hiyo ndugu zangu kwenu nyie tokea dunia iwepo nyie hamna ujasiri kwenye hili.
Je mnakataa???
Jamani tundaaa
Ntalipaje tundaaa
Tunda tam tam
Ntalipaje tundaaa

Nataka tunda katoto kazuri
 
afu sijui nani aliwadanganya hyo theology ya Adam na hawa kuwa tunda la kati ni hvyo mnavyofikiria ... watu tunakariri tu
 
Tokea dunia iwepo binadamu aumbwe wa kwanza alishindwa kuwa jasiri mbele ya hili tunda akavunja maagano na muumba.
Hatimae wakatoka kwenye starehe .
Nakutafuta kwa jasho.
Samson alitoa siri yake za nguvu zake kisa tunda.
Sulemani alioa nakuoa nakuoa kisa kula tunda tofauti lakila rangi.
Mpaka na leo watu wanauana kisa tunda hili hili.
Hata ukitaka kazi nzuri unapata kisa tunda hili hili.
Chochote ukitaka kwa muda wowote ukitoa tunda unapata .
Mwanaume ameshindwa kuwa mjasiri kws hili tunda.
Ndoa zinavunjika nakuimarika kisa hili tunda.
Kwa hiyo ndugu zangu kwenu nyie tokea dunia iwepo nyie hamna ujasiri kwenye hili.
Je mnakataa???
Unamaanisha kuugegeeda uke?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom