katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,762
Tokea dunia iwepo binadamu aumbwe wa kwanza alishindwa kuwa jasiri mbele ya hili tunda akavunja maagano na muumba.
Hatimae wakatoka kwenye starehe .
Nakutafuta kwa jasho.
Samson alitoa siri yake za nguvu zake kisa tunda.
Sulemani alioa nakuoa nakuoa kisa kula tunda tofauti lakila rangi.
Mpaka na leo watu wanauana kisa tunda hili hili.
Hata ukitaka kazi nzuri unapata kisa tunda hili hili.
Chochote ukitaka kwa muda wowote ukitoa tunda unapata .
Mwanaume ameshindwa kuwa mjasiri kws hili tunda.
Ndoa zinavunjika nakuimarika kisa hili tunda.
Kwa hiyo ndugu zangu kwenu nyie tokea dunia iwepo nyie hamna ujasiri kwenye hili.
Je, mnakataa?
Hatimae wakatoka kwenye starehe .
Nakutafuta kwa jasho.
Samson alitoa siri yake za nguvu zake kisa tunda.
Sulemani alioa nakuoa nakuoa kisa kula tunda tofauti lakila rangi.
Mpaka na leo watu wanauana kisa tunda hili hili.
Hata ukitaka kazi nzuri unapata kisa tunda hili hili.
Chochote ukitaka kwa muda wowote ukitoa tunda unapata .
Mwanaume ameshindwa kuwa mjasiri kws hili tunda.
Ndoa zinavunjika nakuimarika kisa hili tunda.
Kwa hiyo ndugu zangu kwenu nyie tokea dunia iwepo nyie hamna ujasiri kwenye hili.
Je, mnakataa?