Madima
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 351
- 301
Jamaa yangu mmoja kaopoa mrembo bonanza la shika ndika wakaanza kuwasiliana taratibu mambo yakakolea akawa ananipa updates kwamba mrembo anamtaka jamaa aende kwako apafahamu jamaa akawa anasita siku moja akajitosa akaenda akaspend the whole day jioni akarudi finally akashawishiwa kwamba sio mbaya akalala huko siku moja moja jamaa akawa anasita na hata mimi nikawa namwambia sio salama sababu humjui vizur anachofanya na maisha yake kwa ujumla. Kumbe jamaa kabembelezwa kakubali akawa anaenda kulala siku chache.
Siku hiyo kajiachia mara mlango unagongwa mishale ya saa saba hv usiku demu kaamka haraka jamaa anashangaa tu haelewi. Demu ndo anamwambia ni jamaa mwanajeshi ndo kampangia room so kaja ghafla jamaa ikabidi amwambie demu asubiri avae kwanza ndo afungue, alipomaliza akamwambia tayari fungua mlango demu akawa haelewi kwann jamaa anachukulia kirahisi jambo kubwa hv lakini ikabidi akubali tu kiaina ile kufungua tu jamaa ametanguliza sura alimvaa kwa ngumi moja heavy mpaka chini mshakaji ndo akapata mwanya nduki.
Anakuja kusema juzi nikamwambia una bahati zaidi ya Pierre Liquid
Siku hiyo kajiachia mara mlango unagongwa mishale ya saa saba hv usiku demu kaamka haraka jamaa anashangaa tu haelewi. Demu ndo anamwambia ni jamaa mwanajeshi ndo kampangia room so kaja ghafla jamaa ikabidi amwambie demu asubiri avae kwanza ndo afungue, alipomaliza akamwambia tayari fungua mlango demu akawa haelewi kwann jamaa anachukulia kirahisi jambo kubwa hv lakini ikabidi akubali tu kiaina ile kufungua tu jamaa ametanguliza sura alimvaa kwa ngumi moja heavy mpaka chini mshakaji ndo akapata mwanya nduki.
Anakuja kusema juzi nikamwambia una bahati zaidi ya Pierre Liquid