Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,864
Rais wetu wa vibobo amekamatwa ila tuseme kweli alikuwa anatuinspire mabaharia wa kike.
Hichi kibobo changu sijui nakufunguaje ila mpaka mwaka uishe nitakuwa na kiwanja au gari.
Mimi nashauri tusiwe tunamchukia mtu kwa kila kitu. Yale mazuri yake nayo tuyaseme jamani
Mungu amfanyie wepesi tutaendeleza vibobo vyetu.
Kuna mwenzi nilidanga wee nikaweka laki nne na sabini.yeye akasema m 13.Daah
Hichi kibobo changu sijui nakufunguaje ila mpaka mwaka uishe nitakuwa na kiwanja au gari.
Mimi nashauri tusiwe tunamchukia mtu kwa kila kitu. Yale mazuri yake nayo tuyaseme jamani
Mungu amfanyie wepesi tutaendeleza vibobo vyetu.
Kuna mwenzi nilidanga wee nikaweka laki nne na sabini.yeye akasema m 13.Daah