ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,802
- 60,648
Dah siku hizi maisha yamekuwa maisha yaani unaweza usipate hata mwanamke wa kumtia mimba akuzalie mtoto.yaani wanawake wanacheza kwa step sana.wanawake wamejitambua kiasi Cha kufikia wanaozaa kuonekana labda hawajasoma hawajielewi.au labda binti ajue maisha ya kwenu sio mabaya mnaweza kulea mtoto.ila hawazai na wewe Kama unazunguka zunguka tu huna maisha huna hela.