Naona hii ndo post yako ya kwanza. Yaani umekosa marafiki mtaani kwako mpaka uje uombe huku?Vipi tena
Yaani Nikajua una neno la maana... Ebu nyonyesha bhana..nimepata wawili byeeeNaona hii ndo post yako ya kwanza. Yaani umekosa marafiki mtaani kwako mpaka uje uombe huku?
Au hata huko kwenye mashule ulikosoma,
Majirani je?
Acha kuwaibia watu kindezi wewe
Sio jf ninayoifahamu mimi.Yaani Nikajua una neno la maana... Ebu nyonyesha bhana..nimepata wawili byeee
Natafuta rafiki wa kiume kwaajili ya kubadilishana mawazo.. Am not single
Napenda awe rafiki ambae anaexperience na maisha hasa utafutaji pesa na Mahusiano.
Ukianza kutaka exchange ya ideas na me , nistueNa mimi pia na mke lakini nahitaji exchange ya ideas. Pm me.
NamieUkianza kutaka exchange ya ideas na me , nistue
Mbona umefunga pm sasa? Kama nafasi hazijajaa ni pmNatafuta rafiki wa kiume kwaajili ya kubadilishana mawazo.. Am not single
Napenda awe rafiki ambae anaexperience na maisha hasa utafutaji pesa na Mahusiano.
Member since aug 4, 2018
🤣🤣🤣🤣🤣
Na mimi pia na mke lakini nahitaji exchange ya ideas. Pm me.
Ukianza kutaka exchange ya ideas na me , nistue
Namimi mnistue wakuuNamie
Mamma nyingine ya kutafuta mwenzaMaisha magumu jamani
MambiNatafuta rafiki wa kiume kwaajili ya kubadilishana mawazo.. Am not single
Napenda awe rafiki ambae anaexperience na maisha hasa utafutaji pesa na Mahusiano.