Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Sielewi yaani, nifundisheni kupenda. Naona nipo nipo tu ila wivu ninao. That degree ya kupenda kwamba hadi na feel eeehhh, naona kama illusion hv, eeeehhh. Ooohhh tunapendana.....lkn sioni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wajumbe habari zenu.nimekua nikichungulia kwenye forum hii kwa siku kadhaa na nimepatwa na mtikisiko wa mawazo kutokana na neno kugegeda.hivi hili neno Lina maana gani? Maana Kuna muda nahisi ni...
3 Reactions
35 Replies
4K Views
Habari za Pasaka aisee? Mwenzenu nipo sitting bado natoa macho tu hapa sielewi nikalale au niendelee kuzuga kishikaji. Shemeji yenu kanipiga adhabu ya nguvu ambayo anajua vizuri lazima...
17 Reactions
301 Replies
48K Views
Salaam wakuu? leo nilikua napita kwenye mitaa ya Bonyokwa, nje ya nyumba moja kulikua kumejaa watu wanamshambulia mwizi, bila shaka kila mmoja wetu hapa kipigo cha mwizi anakifaham, kwa bahati...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari wakuu, Twende kwenye mada... Husika na kichwa cha habari hapo juu, Ni kwamba nimekuwa nikiangalia namna ambavyo vijana wa kiume wa sasa na nimekuwa nikijiuliza maswali mengi... Utakuta...
8 Reactions
57 Replies
5K Views
Bye bye mmu bye bye chit-chat Tukutane Great Thinker na kwengineko. By Saint Suriya
1 Reactions
9 Replies
1K Views
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimempata yule mwanaume wa ndoto zangu. Kweli hajaoa na yuko serious anataka kunioa. Sharti Lake ni kuwa kikatikie kwanza. Hivi mtu wa kulipa masharti anakupenda kweli?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu, naombeni kuuliza, hivi inakuwaje mpaka mtu kufikia hatua ya kutangaza anatafuta mchumba, mke, mume(rare) mtandaoni, hii ina maana gani? kwa wale mliotangaza mkafanikiwa naombeni ushuhuda...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hivi kwa mtazamo wako tu, unamchukuliaje demu ambaye ana tabia kami hizi na anadai anakupenda kwa dhati na ukimwambia ajirekebishe anaomba msamaha na kuahidi harudii tena ila baada ya muda...
4 Reactions
66 Replies
8K Views
Jana sina ramani nimetulia zangu maskan, nikasema ngoja niende kwa mwanangu zizzou kipande cha 88 stand Dom, jamaa anaoneshaga movie, charging na vifaa vya simu kuuza, nikachukua zangu boxer ya...
3 Reactions
38 Replies
6K Views
Nimeumia sana. Sijawahi kumpiga mtoto wangu ila aliniudhi nikajikuta nampiga kibao. Nimelia mimi, inauma sana. Sijui wengine mnawezaje ila naumia sana. Wanawake ni wa kuheshimu sana maanamimi...
5 Reactions
88 Replies
6K Views
Ukweli ni kwamba kutokana na ongezeko la social Media ni kwamba mwanamke mmoja anatongozwa na wanaume kuanzia watano minimum!na kuondelea 10etc,na wote wanakuja na some message I love so much!,kwa...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakati naweka bandiko kule love connect kua natafuta mwanamke Mzuri, kuna watu walidhani ni masihara, lakini nashukuru mungu nimempata niliemtaka. Sikudhani kama JF kuna wadada wazuri kiasi...
2 Reactions
69 Replies
6K Views
Mwaka jana July nilikutana na mtoto katika pilikapilika za saba saba, naposema mtoto ni mtoto kweli, anazo sifa zote za kumfanya mwanaume adate kwake. Mimi kama mwanaume pia ikanibidi nidate...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
Kwa wanawake...plzzzz tunaomba mtueleze ni kitendo gani cha kukuumiza kuliko vyote ulivyowahi kufanyiwa na mpenzi, x au mume wako... Wanaume someni coments muone ushetani mnaoufanya kwa wanawake...
0 Reactions
2 Replies
808 Views
Yaani daimond kawapa wanawake 3 mimba ambao ni mastaa wa east africa nikidume eti. Kwa manaa ukishampa mwanamke mimba hana ujanja tena nyie nimaisha yenu yote mutakuwa kith kimoja kisa mtoto au...
1 Reactions
7 Replies
964 Views
Wanawake wa skuizi wako vizuri kutupanga sie wanaume kuriko ata tunavyowapanga Kama mwez umepita nimeona dem mzr na mzee flan hv Kumfata dem kumbe yuko na yule mzee bna Mzee ana kama miaka 50...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Mimi ni mwanamke wa miaka 27,sijaolewa,Sina mtoto,Sina mpenzi,nimepanga naishi na mdogo wangu mmoja yuko kidato cha nne sasa. Tatizo langu ni moja tangu nianze kujihusisha na mapenzi napata...
21 Reactions
375 Replies
32K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…