Sielewi yaani, nifundisheni kupenda. Naona nipo nipo tu ila wivu ninao.
That degree ya kupenda kwamba hadi na feel eeehhh, naona kama illusion hv, eeeehhh. Ooohhh tunapendana.....lkn sioni...
Wajumbe habari zenu.nimekua nikichungulia kwenye forum hii kwa siku kadhaa na nimepatwa na mtikisiko wa mawazo kutokana na neno kugegeda.hivi hili neno Lina maana gani? Maana Kuna muda nahisi ni...
Habari za Pasaka aisee?
Mwenzenu nipo sitting bado natoa macho tu hapa sielewi nikalale au niendelee kuzuga kishikaji. Shemeji yenu kanipiga adhabu ya nguvu ambayo anajua vizuri lazima...
Salaam wakuu? leo nilikua napita kwenye mitaa ya Bonyokwa, nje ya nyumba moja kulikua kumejaa watu wanamshambulia mwizi, bila shaka kila mmoja wetu hapa kipigo cha mwizi anakifaham, kwa bahati...
Habari wakuu,
Twende kwenye mada...
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Ni kwamba nimekuwa nikiangalia namna ambavyo vijana wa kiume wa sasa na nimekuwa nikijiuliza maswali mengi...
Utakuta...
Nimempata yule mwanaume wa ndoto zangu. Kweli hajaoa na yuko serious anataka kunioa. Sharti Lake ni kuwa kikatikie kwanza.
Hivi mtu wa kulipa masharti anakupenda kweli?
Wakuu, naombeni kuuliza, hivi inakuwaje mpaka mtu kufikia hatua ya kutangaza anatafuta mchumba, mke, mume(rare) mtandaoni, hii ina maana gani? kwa wale mliotangaza mkafanikiwa naombeni ushuhuda...
Hivi kwa mtazamo wako tu, unamchukuliaje demu ambaye ana tabia kami hizi na anadai anakupenda kwa dhati na ukimwambia ajirekebishe anaomba msamaha na kuahidi harudii tena ila baada ya muda...
Jana sina ramani nimetulia zangu maskan, nikasema ngoja niende kwa mwanangu zizzou kipande cha 88 stand Dom, jamaa anaoneshaga movie, charging na vifaa vya simu kuuza, nikachukua zangu boxer ya...
Nimeumia sana. Sijawahi kumpiga mtoto wangu ila aliniudhi nikajikuta nampiga kibao. Nimelia mimi, inauma sana.
Sijui wengine mnawezaje ila naumia sana. Wanawake ni wa kuheshimu sana maanamimi...
Ukweli ni kwamba kutokana na ongezeko la social Media ni kwamba mwanamke mmoja anatongozwa na wanaume kuanzia watano minimum!na kuondelea 10etc,na wote wanakuja na some message I love so much!,kwa...
Wakati naweka bandiko kule love connect kua natafuta mwanamke Mzuri, kuna watu walidhani ni masihara, lakini nashukuru mungu nimempata niliemtaka.
Sikudhani kama JF kuna wadada wazuri kiasi...
Mwaka jana July nilikutana na mtoto katika pilikapilika za saba saba, naposema mtoto ni mtoto kweli, anazo sifa zote za kumfanya mwanaume adate kwake.
Mimi kama mwanaume pia ikanibidi nidate...
Kwa wanawake...plzzzz tunaomba mtueleze ni kitendo gani cha kukuumiza kuliko vyote ulivyowahi kufanyiwa na mpenzi, x au mume wako...
Wanaume someni coments muone ushetani mnaoufanya kwa wanawake...
Yaani daimond kawapa wanawake 3 mimba ambao ni mastaa wa east africa nikidume eti.
Kwa manaa ukishampa mwanamke mimba hana ujanja tena nyie nimaisha yenu yote mutakuwa kith kimoja kisa mtoto au...
Wanawake wa skuizi wako vizuri kutupanga sie wanaume kuriko ata tunavyowapanga
Kama mwez umepita nimeona dem mzr na mzee flan hv
Kumfata dem kumbe yuko na yule mzee bna
Mzee ana kama miaka 50...
Mimi ni mwanamke wa miaka 27,sijaolewa,Sina mtoto,Sina mpenzi,nimepanga naishi na mdogo wangu mmoja yuko kidato cha nne sasa.
Tatizo langu ni moja tangu nianze kujihusisha na mapenzi napata...