Alichonishauri Baba kuhusu ndoa,

Alichonishauri Baba kuhusu ndoa,

Carleen

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2018
Posts
8,577
Reaction score
29,499
Habarini Wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada, Speaking honestly kwa ninayoyaona na kuyasoma kuhusu Ndoa yananikatisha tamaa na kunifanya niwe negative minded though we all know kwamba ndoa ni jambo jema ila kwa yanayondelea sijui km tutapona,
Kuna siku uzalendo ukanishinda tulikuwa tunaongea mazungumzo ya kawaida na Baba and I told him naiogopa mno ndoa japo ni kwa kuiskia tu story zake...
Akanitazama then akanijibu tu "Mwanangu kwenye Ndoa kuna uvumilivu wenye mwisho na uvumilivu usio na mwisho"..!! Nikamdadisi ila hakunijibu direct alichokimaanisha akanieleza ipo siku nitakuja kuelewa maana yake..!
So please, kwa wenye uzoefu at least naombeni mnipe mwanga nini hasa Baba Yangu alikimaanisha..!!
 
bcff1db1-088e-4746-b7e2-4e4b1adf00d6.jpg
 
Nisaidie ujuzi wako tafadhali mkuu,
 
Acha woga mkuu... ndoa ni tamu sana kama ukiwa na busara na ukajua mwenzio anapenda nini na nini hapendi na ukajiheshim... hutakuja kujuta kuoa, binafsi nina enjoy sana kuoa. ULISHAAMBIWA UISHI NAO KWA AKILI SASA UKIONA UMESHINDWA KUISHI NAE JUA KUWA WEWE HUNA AKILI...
 
Mwamin MUNGU,dont marry a stranger,yaangalie maisha yako kunatabia unazo za kwako hata ww mwenyewe huzipendi bado unapambana nazo,hivyo ndivyo alivyomtu unayetaka kuishi nae,maisha yamejaa kuvumiliana katika kila hali sio katika ndoa tu hata mahusiano yoyote,lower your expectations,marry a reasonable person,marry someone you like not necessary you love him/her.maisha ni zaid ya kuoana.
 
Acha woga mkuu... ndoa ni tamu sana kama ukiwa na busara na ukajua mwenzio anapenda nini na nini hapendi na ukajiheshim... hutakuja kujuta kuoa, binafsi nina enjoy sana kuoa. ULISHAAMBIWA UISHI NAO KWA AKILI SASA UKIONA UMESHINDWA KUISHI NAE JUA KUWA WEWE HUNA AKILI...
Hahahahahaha[emoji12] [emoji12]
 
Ndoa kitu rahisi sana, tatizo la Watanzania mnaoa/olewa na mtu ambaye hakuna attraction sexually baina yenu, ndo maana zinawashinda.

Siri kubwa ya kufanikiwa ndoani ni ,,attraction” hiyo ndo mambo yote, kama hauvutiwi kimapenzi, yaani kama haumwangalii mwenzio na kupandisha mzuka wa kutaka kusex naye na kuwa na hisia kali za kimahaba naye, achana naye!
 
Acha woga mkuu... ndoa ni tamu sana kama ukiwa na busara na ukajua mwenzio anapenda nini na nini hapendi na ukajiheshim... hutakuja kujuta kuoa, binafsi nina enjoy sana kuoa. ULISHAAMBIWA UISHI NAO KWA AKILI SASA UKIONA UMESHINDWA KUISHI NAE JUA KUWA WEWE HUNA AKILI...

Na mjaaliwe tu hizo akili kwakweli.
 
Kwa kuwa mzee kakwambia ipo soku atakufafanulia hiyo kauli hebu isubiri hiyo siku maana mtoaji wa kauli hiyo atakuwa ana ufafanuzi bora zaidi. Humu hasa jukwaa hili vijana ndio wengi zaid , wazee hakuna hum
 
Ujue tu ni mtihani mgumu sana inabidi ukeshe kwa kuomba tena tumia imani yako unayoiamini . Ni hatua ya pili ya maisha yako ama ufupishe au uongeze maisha . Ila usiogope kupata mwenza wa kweli ni muhimu .
 
Ndoa kitu rahisi sana, tatizo la Watanzania mnaoa/olewa na mtu ambaye hakuna attraction sexually baina yenu, ndo maana zinawashinda.

Siri kubwa ya kufanikiwa ndoani ni ,,attraction” hiyo ndo mambo yote, kama hauvutiwi kimapenzi, yaani kama haumwangalii mwenzio na kupandisha mzuka wa kutaka kusex naye na kuwa na hisia kali za kimahaba naye, achana naye!
Ila ndoa ni zaidi ya sex
 
Ila ndoa ni zaidi ya sex


Sex siyo sex tu, bali sex ambayo ina attraction kati ya watu wawili, kama hiyo haipo, yaani kama hakuna attraction hakuna ndoa hapo ni kuvumuliana tu, na hapo ndipo kutembea nje kunapokuja kukiambatana na kupoteza uaminifu, ugomvi na mwishowe kumwagana!

Hivyo kama hakuna attraction baina ya watu 2, siwashauri waone kabisa, kwani hakuna kitu hapo itakuwa ni kuvumiliana ambapo ni sawa na kulazimishana, sasa mtalazimishana hadi lini?
Ndo hayo mambo ya mmoja akisafiri mwingine anafurahia na siku akirudi mwingine anakosa raha, inatakiwa ukisafiri mmoja anakosa raha kwa kumkosa mwenzake, kama mambo hayo hayapo, hakuna kitu hapo!
 
Back
Top Bottom