Mazingira yangu

Mazingira yangu

Diason David

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2018
Posts
7,556
Reaction score
7,385
Najitabiria kuwa sito oa wala kuishi na side chick au main chick kwa namna yeyote katika utafutaji wangu wa harakati za hapa na pale na mahusiano niliyo yapitia kama members wezangu si ta wahi amini mwanamke katika swala la mahusiano mpaka kiama changu kwanini huwa hawapendi kusema ukweli unatumia gharama mwisho siku unakuja kugundua mkwe wa mtu na ana mtoto kabisa kitu ambacho nilisha hapa kuwa siwezi kuwa mchepuko wa mtu nafikiri ni heri ni ishi ku uhuru nikitaka natafuta wa muda namaliza shida zangu hawa viumbe ni bure kabisa Mungu anaisamehe kabisa

Povu luksa ila ukweli lazima usemwe mbona kama wazazi wetu wanayotuambia ni tofauti na tuonavyo najiona nitakuja kuwa mtu wa tofauti na wengine wacha niishi yale maisha ninayo penda kulala navyotaka muda na kusafiri pembe zote mwa dunia ni kusubiri kiama tu.
 
una umri gani?

unahisi utabanwa ukioa, itafika hatua wewe mwenyewe bila mke utajiona kuna kitu unapungukiwa.
Hatuwezi lingana akili mkuu sawa unachosema nitapungukiwa ila nilishajianda kisaikolojia
 
Boss hakunaga mbadala wa mwanamke. Hivi na shida zao tunasonga nao
Mkuu nipe mbinu maana nikikutana nao njiani hasa mabinti sipendi hata kuwachombeza wala kuwa na interest nao kabisa
 
Mbadala wake ni kupiga puchu ambayo eventually itamuacha na majonzi.
Mkuu kupiga puchu siwezi wakati natafuta hera ya nini hawa viumbe huwa nikiongea nao kwenye simu huwa nacheka na drama zao sijui wakiwa wa kweli watapungukiwa nini maishani Dah nihisi kuwalaumu walio nileta kwenye hii dunia ninayo ishi mimi najihisi mimi sio kama binadamu wengine wenye kufikiria kupanga mipango ikawa sawia hongera zao
 
Back
Top Bottom