Akina dada wachoyo sana.

Akina dada wachoyo sana.

Siri ya sifuri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
2,610
Reaction score
2,255
Hivi ni kwanini akina dada hawapendi kutusifia sisi wanaume!?kwani sisi wanaume sio wazuri?hatunamvuto? hawatupendi? hivi ni kweli mwanaume anaestahili sifa kwa mwanamke ni mwenye pesa tu, !? Sisi wanaume kila kukicha tunawasifia wanawake jinsi walivyoumbika,wanavyojiremba ,wanavyotuvutia na sifa nyingine tele. nikawaida kumsikia mwanaume akisema"mdada ameumbika yule, angalia alivyo na wowowo au msambwanda, mwangalie yule, kiuno kama nyigu, cheki mtoto guu la bia, hatuna choyo kabisa, hata pesa sisi wanaume ndio watoaji. lakini kina dada mmmmh!
 
Nasikia huko Unguja ukiwa na bata vuzi tyu unasifiwa
 
Yaani mwanaume unalilia kusifiwa uzuri?
Anyway tutafika tu
 
mi mtanga ila niliishi Unguja,nikahamia Moro na sasa nipo Dar, kote ndio hivyohivyo
Hujawahi kusikia ule msemo "Mwanaume hasifiwi sura".

Tunasifiwa kwa kutoa huduma tu.
 
Back
Top Bottom