Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Yaani ni inamtaka babake kila dakika, hadi sasa nimesema kama noma na iwe noma. Mwenzangu nivumilie tu bado miezi 4 nitashusha inshaallah. Mtoto wa mwenzio ni mwanao.
4 Reactions
225 Replies
21K Views
Nimepata wazo leo wakati tukiwa tumejumuika vijana kikundi kidogo cha wakazi wa K-Nyama, tukizungumza na kupeana ushauri kuhusu maswala ya ndoa na nimeona nishirikishe moja ya ushauri wangu humu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nmeanza kudate naye miezi kadhaa sasa. Ni dada mzuri kwa sifa zote za uzuri na rangi yake ya usafi...she is beautiful. Shida kubwa. ANAKOROMA. yaani akilala kidogo tu anaanza kukoroma. Usiku...
4 Reactions
34 Replies
6K Views
Katika maisha Haya Ya Mahusiano, Nimejaribu Sana kwa Muda Mwingi Kuchunguza Swala La *Mahusiano ya Mume na ndugu zake Baada Ya ndoa* Na, Mahusiano ya Mke na ndugu zake Baada ya ndoa. Kitu...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu miezi km mitatu iliyopita nilikumbwa na janga kidogo liharibu ndoa yangu. Ilikua hivi: Mi nakaa mbali kidogo na mke wangu, na mke wangu anafanya kazi Dar. Sasa sisi wanaume wa Kolomije huwa...
12 Reactions
30 Replies
5K Views
Ijumaa hiyo....tunaelekea kuanza w/kend tukatembelee wapi?Popote pale ulipo elekeza eneo zuri la kutembelea w/kend hii....
0 Reactions
24 Replies
2K Views
SALAAM WAKUU. *Aisee moyo mashine wazee!!! ♡Kwanza nilikuwa siamini kama bado kuna watu wanazimia kwa stress za fumanizi. ☆Kuna jamaa yangu (tunafanya kazi pamoja) nilipigiwa simu j.3 jioni...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Asee nilikuwa na ka demu kangu pale TPSC Tabora, mwaka 2010 kakawa kanafanya graduation, akanipa invitation, Baada ya kufika tukasherehekea na jioni kuna ukumbi wa zamani mbele ya chuo, wenyewe...
6 Reactions
45 Replies
12K Views
Mke wangu amekua akisifiwa sana na mashost zake mpaka dada zake eti mumeo handsome afu Mimi nikijicheki najiona wakawaida tu lakin kumbe wakiniona wanalowesha chupi kudadeki
6 Reactions
46 Replies
4K Views
. . . . . . . . .
10 Reactions
125 Replies
12K Views
hii inaua kuamiliana. kama alikuchepusha kabla hajakuoa nini kimzuie asichepuke ukiwa ndoani.
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Daah... Something bad happened. Mhusika kaniomba nisiendelee. i didnt know she is member of JF. I AM SO SORRY.
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Staili ya kufanya mapenzi ina umhimu wake katika upatikanaji; kwa hizo staili ngumu mnazofanya ipo siku mtazaa ngamia. Pamoja na hayo; KIFO CHA MENDE ndiyo inayotajwa kuongoza kuwa ni staili...
13 Reactions
75 Replies
47K Views
Jana binti yake na kagame aliolewa picha zinaonesha .lakini hapa kilichonivutia zaidi n kimo cha mkwewe kagame bw.betrand ,kwa anajemjua kagame n mrefu haswaaa sasa hyu mkwewe kamzid tena najaribu...
4 Reactions
73 Replies
11K Views
Niko bored geto muda huu..mwanamke yyte alieko online muda huu njoo tuchat
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mchumba alishaoa ndoa ya Roma na kupata watoto. Wameachana na mke na watoto ni wakubwa. Changamoto iliyopo 1. Ndoa ya Roma haina talaka nitaweza kuolewa na huyu mwanaume? 2. Bado anazaa pete...
3 Reactions
42 Replies
4K Views
Hii tabia ya kuweka hela kwenye vifua vyenu(matiti) siyo njema, inakera na inatia kinyaa sana NA PIA INACHAKAZA NOTI. Unakuta unamlipa mwanamke pesa anaikunjakunja anaitia kifuani na chenchi...
9 Reactions
51 Replies
7K Views
  • Poll Poll
Nililewa Sana nikapata tabu kuvunja amri ya sita. Kila nikitumbikiza shimo linatema nje, kiboo kikawa labda nikikishika, kilivyofanikiwa kusimama likawa kubwa nene halikushuka, mpaka asubuhi...
3 Reactions
44 Replies
6K Views
Sister, If your boyfriend is cheating on you, cry no more. Steal his phone oneday, copy the other girl's number, call her and act like you're his sister. Then thank her for encouraging him to...
33 Reactions
56 Replies
4K Views
Back
Top Bottom