Emery Paper
JF-Expert Member
- Jun 1, 2019
- 1,429
- 2,713
Habari za asubuhi wakuu!
Kama heading inavyojieleza hapo juu, katika tathmini yangu ya muda mrefu kila couple/wapenzi nnaokutana nao au nnaowafahamu ni nadra sana tena sana kukuta mwanamke ni mrefu zaidi kumzidi mwanaume.
Swali langu ni kwa nini wanaume hatupendi wanawake waliotuzidi kimo na wanawake hawapendi wanaume waliowazidi kimo ?
Kama heading inavyojieleza hapo juu, katika tathmini yangu ya muda mrefu kila couple/wapenzi nnaokutana nao au nnaowafahamu ni nadra sana tena sana kukuta mwanamke ni mrefu zaidi kumzidi mwanaume.
Swali langu ni kwa nini wanaume hatupendi wanawake waliotuzidi kimo na wanawake hawapendi wanaume waliowazidi kimo ?