Hivi wanawake huwa wanataka nini?ona huyu,mshauri

fabinyo

JF-Expert Member
Aug 5, 2011
2,991
2,109
Mimi ni mwanamke wa miaka 27, sijaolewa ila nina mchumba wangu amabye kashajitambulisha kwetu ametoa mahari na mwezi wa 10 mungu akipenda tutafunga ndoa. Mimi na mchumba wangu tuko vizuri, mimi nafanya kazi serikalini nayeye ni Mwanasheria, ananipenda, ananijali na kunihudumia kwa kila kitu. Lakini tatizo lake Kaka ni moja, yaani sijui kama ni mtu ambaye anafaa kwangua u ni mimi nakosea. Mchumba wangu ni mtu wa kunicontrol sana, sijui nisemeje lakini anataka kunisaidia kwa kila kitu.

Labda nikupe mfano Kaka ili unielewe, mchumba wangu anapenda nikipata shida nimuambie yeye ili anisaidie na si mtu mwingine. Kwa mfano labda nimeumwa na sina pesa, nikamuambia Dada yangu akanipa, akijua atakasirika kuwa namdharau eti kwanini sikumuambia yeye anipe, labda kodi ya nyumba imeisha nikaenda kukopa anakasirika kuwa kwanini namruka yeye naenda kukopa wakati yeye ana uwezo wa kunihudumia, hataki ndugu zangu wanisaidie kwa chochote anaona kama ninamdharau kwa kutokumuambia yeye matatiozo yangu.
Nikweli nikimuambia shida yoyote ananisaidia bila kinyongo wala nini, haninyanyasi lakini Kaka mimi nachoka nitamuambiaje mwanaume matatizo yangu kila siku. Sio kwamba hanipi pesa bila kumuomba, ananipa lakin tatizo lake nikuwa kwanini nikiwa na shida simuambii naenda kukopa au kuwaambia watu wengine. Mimi kaka wakati mwingine najisikia vibaya kumuambia kila kitu naona kama ataniona nina shida sana lakini nisiposema anakasirika, kaka naomba ushauri namna ya kuishi na mwanaume kama huyu kwani nampenda sana na yeye ananipenda.
 
Mimi ni mwanamke wa miaka 27, sijaolewa ila nina mchumba wangu amabye kashajitambulisha kwetu ametoa mahari na mwezi wa 10 mungu akipenda tutafunga ndoa. Mimi na mchumba wangu tuko vizuri, mimi nafanya kazi serikalini nayeye ni Mwanasheria, ananipenda, ananijali na kunihudumia kwa kila kitu. Lakini tatizo lake Kaka ni moja, yaani sijui kama ni mtu ambaye anafaa kwangua u ni mimi nakosea. Mchumba wangu ni mtu wa kunicontrol sana, sijui nisemeje lakini anataka kunisaidia kwa kila kitu.

Labda nikupe mfano Kaka ili unielewe, mchumba wangu anapenda nikipata shida nimuambie yeye ili anisaidie na si mtu mwingine. Kwa mfano labda nimeumwa na sina pesa, nikamuambia Dada yangu akanipa, akijua atakasirika kuwa namdharau eti kwanini sikumuambia yeye anipe, labda kodi ya nyumba imeisha nikaenda kukopa anakasirika kuwa kwanini namruka yeye naenda kukopa wakati yeye ana uwezo wa kunihudumia, hataki ndugu zangu wanisaidie kwa chochote anaona kama ninamdharau kwa kutokumuambia yeye matatiozo yangu.
Nikweli nikimuambia shida yoyote ananisaidia bila kinyongo wala nini, haninyanyasi lakini Kaka mimi nachoka nitamuambiaje mwanaume matatizo yangu kila siku. Sio kwamba hanipi pesa bila kumuomba, ananipa lakin tatizo lake nikuwa kwanini nikiwa na shida simuambii naenda kukopa au kuwaambia watu wengine. Mimi kaka wakati mwingine najisikia vibaya kumuambia kila kitu naona kama ataniona nina shida sana lakini nisiposema anakasirika, kaka naomba ushauri namna ya kuishi na mwanaume kama huyu kwani nampenda sana na yeye ananipenda.
Achana nae katufute mwingine uyo akufai

Mwanamke akinyimwa akili zinazo umia ni sehemu za sri
 
Kila kitu kwa kiasi. Lakini hapo huoni hata ninyi hamueleweki? Ninyi kila siku mnalalamika eti ukishaingia kwenye mahusiano na mwanamke wa kibongo anakugeuza wewe mzazi wake shida zote anakutulia, huyu anakasirika eti usipomuomba unamdharau hahaha ila kiukweli si binadamu anayetujua ni aliyetuumba tu si mwanaume si mwanamke
 
Kila kitu kwa kiasi. Lakini hapo huoni hata ninyi hamueleweki? Ninyi kila siku mnalalamika eti ukishaingia kwenye mahusiano na mwanamke wa kibongo anakugeuza wewe mzazi wake shida zote anakutulia, huyu anakasirika eti usipomuomba unamdharau hahaha ila kiukweli si binadamu anayetujua ni aliyetuumba tu si mwanaume si mwanamke

Mwanamke ni kusukuma shida... Shida zote tusukumieni tu - hata tukilalamika sukuma shida acha kuzishikilia. Yani usiwe na habari we una forward tu shida kwa mwanaume wako. Akishindwa ndo mjadiliane sasa kwenda kukopa
 
unafanya kazi serikalini alafu unaenda kukopa hela??kwanini usiibie serikali
Na si kuiba tu shekhe si ana mshahara? Kwann kila siku ni wa kulialia je angekuwa kama hawa dada zetu wauza vitumbua huku mtaani ingekuwaje? Hapo ana mshahara na ni muajiriwa kuna baadhi ya vitu anavipata kupitia ajira yake kama vile matibabu nk. Au huo mshahara una kazi nyingine? Au na yy kafuga jibwa lisilowinda upande wa pili? Haiwezekani mtumishi wa umma uwe unalilia kama dada mchoma vitumbua kuna kitu hakiko sawa!
 
Mwanamke ni kusukuma shida... Shida zote tusukumieni tu - hata tukilalamika sukuma shida acha kuzishikilia. Yani usiwe na habari we una forward tu shida kwa mwanaume wako. Akishindwa ndo mjadiliane sasa kwenda kukopa
umemaliza,as long as ushamjua mwenzako anapenda shida zako,what else?sukumaaa
 
Wanaume tunatofautiana, kuna wanaopenda kuombwa ombwa ndio watoe huduma na kunao ambao hatupendi kuombwa ombwa ila tunajiongeza.

Sasa jamaa yako kama anaona fahari ya mizinga we muue tu mizinga mpaka adate.
😆😆😆😆😆😆😆 naona anabipu fire kwa moto wa kuni 2!
 
Mimi ni mwanamke wa miaka 27, sijaolewa ila nina mchumba wangu amabye kashajitambulisha kwetu ametoa mahari na mwezi wa 10 mungu akipenda tutafunga ndoa. Mimi na mchumba wangu tuko vizuri, mimi nafanya kazi serikalini nayeye ni Mwanasheria, ananipenda, ananijali na kunihudumia kwa kila kitu. Lakini tatizo lake Kaka ni moja, yaani sijui kama ni mtu ambaye anafaa kwangua u ni mimi nakosea. Mchumba wangu ni mtu wa kunicontrol sana, sijui nisemeje lakini anataka kunisaidia kwa kila kitu.

Labda nikupe mfano Kaka ili unielewe, mchumba wangu anapenda nikipata shida nimuambie yeye ili anisaidie na si mtu mwingine. Kwa mfano labda nimeumwa na sina pesa, nikamuambia Dada yangu akanipa, akijua atakasirika kuwa namdharau eti kwanini sikumuambia yeye anipe, labda kodi ya nyumba imeisha nikaenda kukopa anakasirika kuwa kwanini namruka yeye naenda kukopa wakati yeye ana uwezo wa kunihudumia, hataki ndugu zangu wanisaidie kwa chochote anaona kama ninamdharau kwa kutokumuambia yeye matatiozo yangu.
Nikweli nikimuambia shida yoyote ananisaidia bila kinyongo wala nini, haninyanyasi lakini Kaka mimi nachoka nitamuambiaje mwanaume matatizo yangu kila siku. Sio kwamba hanipi pesa bila kumuomba, ananipa lakin tatizo lake nikuwa kwanini nikiwa na shida simuambii naenda kukopa au kuwaambia watu wengine. Mimi kaka wakati mwingine najisikia vibaya kumuambia kila kitu naona kama ataniona nina shida sana lakini nisiposema anakasirika, kaka naomba ushauri namna ya kuishi na mwanaume kama huyu kwani nampenda sana na yeye ananipenda.
Wanawake wengi ni wajinga
 
Back
Top Bottom