Ni mgegedo upi uliowahi kuufuata mbali?

Ni mgegedo upi uliowahi kuufuata mbali?

runtown

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
844
Reaction score
1,169
Habari za mida wakuu, pia herini ya mwaka mpya.

Kama kichwa kinavyojielezea, ni mgegedo upi ulokutoa mbali uufate?


Mimi binafsi kuna mwanamke kanitoa Moshi mpka Mikumi kwa ajili ya mgegedo ila kufika Mikumi nikitegemea night niliyofika nitakuwa naye akazingua ikabidi ninunue 'mbunye' ya kujipa pole kwanza.

Karibu utuambie wewe ulifata wapi na ulikutana na changamoto gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za mida wakuuu pia herini ya mwaka mpya....

Kama kichwa kinavo jielezea ni mgegedo upi ulokutoa mbali uufate...


Mm binafsi kuna dem kanitoa moshi mpka mikumi kwa ajili ya mgegedo ila kufika mikumi nikitegemea nigt nilofika nitakua nae akazingua ikabid ninunue mbunye ya kujipa pole kwanza...
Karibu utuambie ww ulifata wapi na ulikutana na changamoto gan

Sent using Jamii Forums mobile app
Unafata mbunye kwa demu hiyo usirudie tena mkuu unaweza kupewa za uso na washkaji zake,mbunye haifatwi ila inakuja yenyewe we kazi yako ni kuibandua tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za mida wakuuu pia herini ya mwaka mpya....

Kama kichwa kinavo jielezea ni mgegedo upi ulokutoa mbali uufate...


Mm binafsi kuna dem kanitoa moshi mpka mikumi kwa ajili ya mgegedo ila kufika mikumi nikitegemea nigt nilofika nitakua nae akazingua ikabid ninunue mbunye ya kujipa pole kwanza...
Karibu utuambie ww ulifata wapi na ulikutana na changamoto gan

Sent using Jamii Forums mobile app

Ahahahaaaaaaaa.

Mimi hadi Songea nishafika kwa ajili hiyo.
 
Habari za mida wakuuu pia herini ya mwaka mpya....

Kama kichwa kinavo jielezea ni mgegedo upi ulokutoa mbali uufate...


Mm binafsi kuna dem kanitoa moshi mpka mikumi kwa ajili ya mgegedo ila kufika mikumi nikitegemea nigt nilofika nitakua nae akazingua ikabid ninunue mbunye ya kujipa pole kwanza...
Karibu utuambie ww ulifata wapi na ulikutana na changamoto gan

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeanza mwaka kwa kuwaza mbuye, safi sana.
Mshahara wa dhambi ni mauti
 
Nilisha fuata mbunye ya kidemu flani kizungu hadi Marekani kabla Trump hajaingia madarakani, kile kidemu kilinikula hela zangu, baada ya hapo nikakitoa State hadi Senegal, nikakitoa Senegali kikarudi state mimi nikafungasha zangu nikarudi bongo kwenda kuchungulia salio bank nakuta kuna elfu 60 tu.... wht fck...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom