Hakika baada ya drama alizoleta zari kwenye Mashindano ya Umiss kule uganda sasa naamini mwanamke anahitaji Ndoa sana kuliko Vyote... Kimsingi wanaume huwa tunatimiza ndoto za wanawake tunapofunga...
Niliwahi kuandika uzi wangu wa kutafuta mwenza humu ndani, katika wengi waliokuja nikabahatika kupata kijana mmoja aliyeukuna moyo wangu,nikaona nijaribu mahusiano naye sikutaka kujiachia mazima...
Wanaume wa siku hizi wamekuja na mbinu mpya ili aendelee kula mzigo kiulaini bila stress za hela
Wakishakutongoza,anaingiza ishu ya kukuoa,ili usiwe unamuomba hela mara kwa mara ,au ukimuomba...
Wakuu nawasalimu wote,kama kijana nmeona nishee nanyi mambo muhimu ya ujanani,nmekuwa nikishiriki ngono zembe mara nyingi sana kiukwel yaan namaanisha kufanya ngono bila kinga,lkn hv karibuni...
hasa pale upo na mkeo au mumeo mnaangalia habari yenye visa na mikasa vya kutisha juu ya wanaondoa kupelekea hata kuuana kwa ukatili chanzo wivu wa kimapenzi iwe wa ukweli ama wa kuhisiana...
Ikasokotwa bonge la bangi kama la Bob Marley baadae ikawashwa, nikasikia mmoja wao anasema kwa sauti kubwa kuwa Mwenge huwa hauruki kijiji. Basi nikajisemea moyoni leo ndio arobaini yangu imefika...
Wakuu sina maneno leo kuna mtoto mmoja hivi nilikuwa namfukuzia na alikuwa ananikazia sana, sasa leo katimba hapa gheto muda si mrefu Namyonyoa.
Nikimaliza kazi nitakuja na update.
Cc Zero IQ
Wengine ( nami nikiwemo ) huwa naingia hasa Facebook kwa Kazi Maalum tu ya Kutongoza Wanawake ili niburudike ( nistarehe ) nao Kingono tu pekee kwani hiyo ndiyo Raha yangu hapa Maishani kwakuwa...
Akiwa mama ana mapenzi makubwa kwa watoto wake hususani wa kiume.
Hapendi kuona watoto wake wakipata shida.Hujitaidi kuhakikisha kuwa watoto wanakuwa na furaha kwa kadiri atakavyoweza.Upendo...
Ukimpenda Demu halafu ukakuta ana marafiki wawili ama watatu cha kufanya usimtongoze kwanza yeye!
Jifanye wewe ni gentleman kwa marafiki zake hata kama kiukweli sio maana marafiki zake wakikuona...
Hi, wana JF.
Zawadi super kwa rafiki yangu wakike niishara tosha for me best signal yakuonesha upendo wangu kwake japo majukum yanambana anakua hana time yakutembea ili niweze kumwambia yamoyoni...
Wakuu habari za saa hizi
Kama kichwa cha habari kinavyosema wanawake wengi sana siku hizi wanacheza michezo ili hali hawana kazi ya kuwaingizia kipato.
Usiseme nimejuaje ila ukweli ndo huo. Mimi...
Ni sawa kipind hichi cha maisha wanaume nao wana ile tabia ya kutaka mwanamke ambaye kimsingi nae ni mchakarikaji ili msaidie ilo ni sawa, ila mambo kama yamebadilika wanaume wamekua wavivu...
​​Kama kuna mtaalamu wa maswala ya mapenzi na ndoa naomba anisaidie.
Je nini siri ya mafanikio katika ndoa wakati mke hupenda pia wanawake?.
Kwa ufupi:
Nimekuwa katika mahusiano...
Kwani kuna ubaya gani kufanya kitu upendacho baada ya kitimiza kazi uliyopewa na boss wako kwa 100%.. Kuview adults material kazini ichukuliwe kama hobby tu ya mtu kama vile kucheza games.