HISIA GANI HUWA ZINAWAJIA...

HISIA GANI HUWA ZINAWAJIA...

Lovehate

Member
Joined
Apr 26, 2018
Posts
52
Reaction score
75
hasa pale upo na mkeo au mumeo mnaangalia habari yenye visa na mikasa vya kutisha juu ya wanaondoa kupelekea hata kuuana kwa ukatili chanzo wivu wa kimapenzi iwe wa ukweli ama wa kuhisiana tu,mnaendaje kulala?,hamuogopani ? Hafu unaeza ukakuta jana mlikuwa na ugomvi wenye sababu kama hizo.
 
Namwambia akalale mwenyewe mi Naenda kulala nje kumpa kujiamini
 
Ngoja waje...

Ila sidhani kama wanandoa wengi wanapata huo muda wa kukaa pamoja mpaka kukutwa na habari kama...



Cc: mahondaw
 
Mi huwa namwambia hivi "Mke wangu, unasikia kinachoongelewa hapo?.Huu ugomvi wetu wa mara kwa mara unaweza kutufikisha kama hapo.Naomba tuishi kwa upendo na amani kama zamani mke wangu.Pia tafadhali usijaribu kunisaliti/kuchepuka.Ntakufanya kama alivyofanya huyu jumaa"
Vipi uwe umekosea wewe na asemi chochote, HUOGOPI ?
 
hasa pale upo na mkeo au mumeo mnaangalia habari yenye visa na mikasa vya kutisha juu ya wanaondoa kupelekea hata kuuana kwa ukatili chanzo wivu wa kimapenzi iwe wa ukweli ama wa kuhisiana tu,mnaendaje kulala?,hamuogopani ? Hafu unaeza ukakuta jana mlikuwa na ugomvi wenye sababu kama hizo.
naanza kumuonya hapo hapo asijaribu ujinga
 
Back
Top Bottom