rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,170
- 43,972
Hakika baada ya drama alizoleta zari kwenye Mashindano ya Umiss kule uganda sasa naamini mwanamke anahitaji Ndoa sana kuliko Vyote... Kimsingi wanaume huwa tunatimiza ndoto za wanawake tunapofunga nao ndoa ila Mwanamke anahitaji sana ndoa hata kama Ana pesaa kiasi gani bado atahitaji tu Mwanaume wa kumuita Mumewe..! Zari kwa aliyoyafanya inaonesha Moyo wake unauma sanaa yani sana hasa akiwaangalia kia Tiffa na Nillan hakika Diamond alimpa Kovu kubwa sana japo anajidai jasiri kwamba kamove on ila ANUMIA SANAA YANI SANA.
Sema aliyomfanyia Ivan acha Karma amtafunee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] HESHIMUNI SANA NDOA ZENU WANAWAKE.
Sema aliyomfanyia Ivan acha Karma amtafunee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] HESHIMUNI SANA NDOA ZENU WANAWAKE.