Akiwa mama ana mapenzi makubwa kwa watoto wake hususani wa kiume.
Hapendi kuona watoto wake wakipata shida.Hujitaidi kuhakikisha kuwa watoto wanakuwa na furaha kwa kadiri atakavyoweza.Upendo anaouonesha mama kwa watoto huwa ni wa kweli kiasi kwamba hupelekea watoto kuwa mbali kabisa na baba.
Mwanamke anakuwa tofauti kabisa anapokuwa mke.Anakuwa ni mwanzo wa vurugu ndani ya ndoa,ni chanzo cha mifarakano huku akidai anataka haki sawa.
Ni kinara wa kuonesha kuwa yeye ndiye anayeonewa na wifi wake,shemeji na wakweze.
Miaka ya hivi karibuni wamekuwa ni makahaba wastaarabu waliojificha ndani ya ndoa.
Wamekuwa vinara wa kuleta watoto bandia ndani ya ndoa.
Vijana mnaooa au mnaotarajia kuoa hivi karibuni,jiepusheni kufanya sherehe kubwa na hawa watu hili msije juta huko mbele.Ikiwezekana ishi nae hata miaka kumi kabla hujala kiapo cha ndoa
Hapendi kuona watoto wake wakipata shida.Hujitaidi kuhakikisha kuwa watoto wanakuwa na furaha kwa kadiri atakavyoweza.Upendo anaouonesha mama kwa watoto huwa ni wa kweli kiasi kwamba hupelekea watoto kuwa mbali kabisa na baba.
Mwanamke anakuwa tofauti kabisa anapokuwa mke.Anakuwa ni mwanzo wa vurugu ndani ya ndoa,ni chanzo cha mifarakano huku akidai anataka haki sawa.
Ni kinara wa kuonesha kuwa yeye ndiye anayeonewa na wifi wake,shemeji na wakweze.
Miaka ya hivi karibuni wamekuwa ni makahaba wastaarabu waliojificha ndani ya ndoa.
Wamekuwa vinara wa kuleta watoto bandia ndani ya ndoa.
Vijana mnaooa au mnaotarajia kuoa hivi karibuni,jiepusheni kufanya sherehe kubwa na hawa watu hili msije juta huko mbele.Ikiwezekana ishi nae hata miaka kumi kabla hujala kiapo cha ndoa