Dharra
JF-Expert Member
- Jun 23, 2017
- 1,661
- 2,972
Sisi wengine huku ughaibuni idi imetukuta na upepo mkali na dalili ya mvua kubwa, Watabiri wa hali ya hewa wametuonya ni bora kubaki nyumbani kama huna shughuli muhimu ya kufanya huko nje. Sasa hapa tumejifungia tu ndani tukiangalia TV. Wewe upo wapi leo? nakukumbusha tu kuweka Akiba.