Baby utanipa lawama[emoji24]

Baby utanipa lawama[emoji24]

Lady of Destiny1

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2019
Posts
588
Reaction score
869
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Mimi:Kesho ukimaliza pepa una ratiba gani

Yeye:Naenda Bagamoyo kwa ancle wangu

Mimi:Then after

Yeye:Baada ya hapo Nitaenda home (Bk)

Mimi:Muda mrefu hatujaonana lakini na kumbuka tulipanga ukimaliza UE tutakuwa na muda mzuri wa kuongea kuhusu muelekeo wa mapenzi yetu

Yeye:Ni kweli mama Ila naona kidogo ishu ya hela inakuwa ngumu kwa upande wa nauli ya kuja Dom.
Tufanye kukutana stand ya dodoma angalau tusalimiane nitakapokuwa naenda Bk

Mimi🙁Kwa unyonge Sana ),Sawa.

""""Kuna kijana anakuja kwa kasi ya 4G nimemkataa kwa sababu sipendi kukuumiza kwa Mara ya pili
Pamoja na changamoto unazopitia wakati huu nimeamua kujifunza kukupenda kwa sababu una moyo mzuri uliojaa upendo , I see the bright future a head with u darling
Ila maswala ya mapenzi uyapi kipaumbele kabisa ,can u imagine mwaka mzima hatujaonana hata kwa kiss tu na kunishika mkono???? yet unasema unanipendaaa?,BABY UTANIPA LAWAMA[emoji24]
 
The guy has priorities, but you are not one of them!...mimi kama mwanaume nina uhakika asilimia tisini huyo jamaa hakupendi!
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Mimi:Kesho ukimaliza pepa una ratiba gani

Yeye:Naenda Bagamoyo kwa ancle wangu

Mimi:Then after

Yeye:Baada ya hapo Nitaenda home (Bk)

Mimi:Muda mrefu hatujaonana lakini na kumbuka tulipanga ukimaliza UE tutakuwa na muda mzuri wa kuongea kuhusu muelekeo wa mapenzi yetu

Yeye:Ni kweli mama Ila naona kidogo ishu ya hela inakuwa ngumu kwa upande wa nauli ya kuja Dom.
Tufanye kukutana stand ya dodoma angalau tusalimiane nitakapokuwa naenda Bk

Mimi🙁Kwa unyonge Sana ),Sawa.

""""Kuna kijana anakuja kwa kasi ya 4G nimemkataa kwa sababu sipendi kukuumiza kwa Mara ya pili
Pamoja na changamoto unazopitia wakati huu nimeamua kujifunza kukupenda kwa sababu una moyo mzuri uliojaa upendo , I see the bright future a head with u darling
Ila maswala ya mapenzi uyapi kipaumbele kabisa ,can u imagine mwaka mzima hatujaonana hata kwa kiss tu na kunishika mkono???? yet unasema unanipendaaa?,BABY UTANIPA LAWAMA[emoji24]
 
Sasa huu ujumbe si ungemtumia yeye baby wako

Vijana wa kileo sijui mnakwama wapi au na yeye yupo JF forum

Good communication is a key to the most social issues including the bright future ahead of you n’ your baby
 
This is Jf broo

""Where we dare to talk openly""

Sasa huu ujumbe si ungemtumia yeye baby wako

Vijana wa kileo sijui mnakwama wapi au na yeye yupo JF forum

Good communication is a key to the most social issues including the bright future ahead of you n’ your baby
 
Anaona una mzingua tu ....haiwezekani Mtu haujaonana nae mwaka mzima then iwe hana shauku ya kuonana nawe wakati anakupenda !!!!

Acha akajilie papuchi anayoipenda huko BK ..... (BwA hahaaa)
Huyu ataki papuchi ,aliniambia hatanigusa Hadi tuoane,na nimjuavyo ndivyo alivyo ,.
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Mimi:Kesho ukimaliza pepa una ratiba gani

Yeye:Naenda Bagamoyo kwa ancle wangu

Mimi:Then after

Yeye:Baada ya hapo Nitaenda home (Bk)

Mimi:Muda mrefu hatujaonana lakini na kumbuka tulipanga ukimaliza UE tutakuwa na muda mzuri wa kuongea kuhusu muelekeo wa mapenzi yetu

Yeye:Ni kweli mama Ila naona kidogo ishu ya hela inakuwa ngumu kwa upande wa nauli ya kuja Dom.
Tufanye kukutana stand ya dodoma angalau tusalimiane nitakapokuwa naenda Bk

Mimi🙁Kwa unyonge Sana ),Sawa.

""""Kuna kijana anakuja kwa kasi ya 4G nimemkataa kwa sababu sipendi kukuumiza kwa Mara ya pili
Pamoja na changamoto unazopitia wakati huu nimeamua kujifunza kukupenda kwa sababu una moyo mzuri uliojaa upendo , I see the bright future a head with u darling
Ila maswala ya mapenzi uyapi kipaumbele kabisa ,can u imagine mwaka mzima hatujaonana hata kwa kiss tu na kunishika mkono???? yet unasema unanipendaaa?,BABY UTANIPA LAWAMA[emoji24]
Hakupendi huyo ila samahani kwa kusema ukweli wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom