Wanajamii najitokeza mara ya kwanza kuomba maoni na michango yenu juu ya swali hili linalonitatiza. Binafsi nikiwa kama kijana na muumini mzuri wa mila na desturi za mwafrika natatizwa na umri sahii wa kijana wa leo ambapo antasemekana kupitwa na wakati wa kuoa.
Hivyo basi kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mwingiliano wa desturi na mila na suala zima la maisha kama muda mwingi kuutumia ukiwa shule najikuta sipati muafaka wa kitabibu au kisociolojia nai wakati upi mwafaka wa kijana kuoa nakaribisha mchango na maoni yako.
Shukrani
Hivyo basi kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mwingiliano wa desturi na mila na suala zima la maisha kama muda mwingi kuutumia ukiwa shule najikuta sipati muafaka wa kitabibu au kisociolojia nai wakati upi mwafaka wa kijana kuoa nakaribisha mchango na maoni yako.
Shukrani