MAPENZI ULAYA, AFRICA BIASHARA.

MAPENZI ULAYA, AFRICA BIASHARA.

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
8,390
Reaction score
17,075
aseeee!

mwanamke wa huko ma ufilipino, india, mwanamke wa huko the United states of A (sio black), kwa malkia Uingland huko asee ndio mapenzi yalipo msee wangu.

huku kwetu mablack tunauziwa mapenzi bila kujijua, wenyewe wana kamsemo kao eti! "kua na mwanaume asie na pesa ni kipaji!"

duh" pesafirst ndio mapenzi yafuate kibongobongo, in Africa especially Tanzania it's like a business meeen!!! Oooh My God!

pesa bila mapenzi kibongo bongo utachapiwa sana aseee, Pesa ndio itakufanya upendwe mzee wangu, wenyewe wanakamsemo kao eti! "hapendwi mtu apa inapendwa pochi!"

sasa wewe jichanganye uoe kama huna kibunda cha kutosha utakua umewasaidia mabaharia wenye pesa kupoint, watakuchapia waifu wako mpaka uone dunia hii chungu asee!!



kibongo bongo

MAPENZI = PESA
MAPENZI BILA PESA = KUCHAPIWA.
 
Nimefikiri ndio nimeligundua hili, mapenzi kizunguzungu hatuyawezi waswahili
 
Hao unaozungumzia uchumi wao uko vizuri si kwa Ke wala Me.

Twende mbele turudi nyuma jambo lolote kwa sasa duniani bila pesa ni kudanganyana.
Mapenzi mbele ya njaa ni kuongopeana.

Nakupenda nakupenda mbele ya dhiki hapana aisee hata mimi nawatetea tutafuteni pesa. Tuache kutafuta visingizio.
 
Hao unaozungumzia uchumi wao uko vizuri si kwa Ke wala Me.

Twende mbele turudi nyuma jambo lolote kwa sasa duniani bila pesa ni kudanganyana.
Mapenzi mbele ya njaa ni kuongopeana.

Nakupenda nakupenda mbele ya dhiki hapana aisee hata mimi nawatetea tutafuteni pesa. Tuache kutafuta visingizio.
sio bila pesa kabisa, wanataka vitu vilivyo nnje ya uwezo wao
 
Hapa unaongelea mapenzi yepi? kwanza nini maana ya neno Mapenzi? hata ukiwa na pesa ina maana utapendwa coz ya pesa zako ila siku zikiisha penzi nalo linaisha,sasa hayo sio mapenzi,Mapenzi ni feeling na real feeling haipatikani kwa pesa.
 
Hakika mkuu.
Hao unaozungumzia uchumi wao uko vizuri si kwa Ke wala Me.

Twende mbele turudi nyuma jambo lolote kwa sasa duniani bila pesa ni kudanganyana.
Mapenzi mbele ya njaa ni kuongopeana.

Nakupenda nakupenda mbele ya dhiki hapana aisee hata mimi nawatetea tutafuteni pesa. Tuache kutafuta visingizio.
 
Hapa unaongelea mapenzi yepi? kwanza nini maana ya neno Mapenzi? hata ukiwa na pesa ina maana utapendwa coz ya pesa zako ila siku zikiisha penzi nalo linaisha,sasa hayo sio mapenzi,Mapenzi ni feeling na real feeling haipatikani kwa pesa.
hiyo real feeling sio bongo sasa, bongo pesa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom