GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,322
- 4,211
Wakuu leo nina appointment au ahadi ya kuonana na mdada nisiyemfahu ila tulikuwa tunachat PM tu kuanzia week iliyopita. Tukatongoza tukaelewana wenyewe.
Sasa leo saa kumi na moja jioni ndiyo tumepanga kuonana lodge fulani hapa Magomeni.
Sasa sijui yupoje? Sijui ni kituko kama vituko vingine vya hapa mjini?
Sijui ni mzuri na mrembo kama anavyosema yeye mwenyewe au ndiyo yaleyale maajabu ya dunia.
Mmmh hata Sijui naenda kukutana na kiumbe cha aina gani. Hii mingine ni mitihani tu. Wakuu niombeeni nimkute anafanania na yule ambaye yupo kwenye fikra yangu.
Sasa leo saa kumi na moja jioni ndiyo tumepanga kuonana lodge fulani hapa Magomeni.
Sasa sijui yupoje? Sijui ni kituko kama vituko vingine vya hapa mjini?
Sijui ni mzuri na mrembo kama anavyosema yeye mwenyewe au ndiyo yaleyale maajabu ya dunia.
Mmmh hata Sijui naenda kukutana na kiumbe cha aina gani. Hii mingine ni mitihani tu. Wakuu niombeeni nimkute anafanania na yule ambaye yupo kwenye fikra yangu.