Tunavyoweza kupeana tupeaneni

Tunavyoweza kupeana tupeaneni

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,126
Reaction score
62,115
Tunavyoweza kupeana tupeaneni ila tusipeane matatizo.Kama wewe mkaka kuna kitu unaweza kumpatia mdada mpatie,na wewe mdada kama unakitu cha kumpatia mkaka mpatie....ila kumbuka usimpatie matatizo.Tumeletwa duniani tufurahiane na baadaye turudi tusikokujua.
 
Tunavyoweza kupeana tupeaneni ila tusipeane matatizo.Kama wewe mkaka kuna kitu unaweza kumpatia mdada mpatie,na wewe mdada kama unakitu cha kumpatia mkaka mpatie....ila kumbuka usimpatie matatizo.Tumeletwa duniani tufurahiane na baadaye turudi tusikokujua.
Uko sehemu unakamatia kinywaji ninii
Mana ukishachangamka lazma u'simplify maisha😂😂
 
Back
Top Bottom