puker
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 940
- 1,847
kabla ya yote napenda kwanza kumshukuru
MUNGU kwa kunifanya niwe salama mpaka
sasa,pia nina imani nyie pia mpo salama
vilevile na tuendelee kumwomba MUNGU
asimame mbele yetu siku zote za maisha yetu.
Leo nimekuja kushare nanyi elimu kidogo
inayo husu "human cloning"na nina amini
wengi wetu ni wageni wa hii kitu..katika
makala hii tata naamini wapo ambao wata
amini hiki ninachoenda kukisema na wapo
ambao hawata amini.Unaruhusiwa kubishaila
tuu tolea maelezo kile unachobisha
neno "CLONING" ni kitendo cha kutengeneza
kiumbe kipya kupitia material ya kiumbe
kingine ili kutafuta ufanano sawa katika
maabara..clone ipo ya aina nyingi kama mimea
na wanyama.. HUMAN CLONING; ni kitendo
cha kuchukua celltishu na gene(DNA) ya mtu
fulani na kutengeneza mtu mwingine anae
fanana na yule wa mwanzo kwa kila kitu
kupitia maabara.human clone ili anza miaka ya
1960.lakini badae umoja wa mataifa ulikataza
kitendo hicho kibaya baada ya mwaka 1967
CIA kuaibishwa na bunae lamarekani kwa kufanya majaribio ya clone ya binadamu
kwenye project ya mk-ultra.ndipo mataifa
mengine yote yalipo acha.
lakini kuna vikundi kama illuminant/
freemasoni wao waliendelea kufanya kitendo
hicho kwasiri ili kutimiza lengo lao lakuja
kuitawala dunia katika new word order.ikawa
wanafanya hivi,endapo akitokea mtu marufu
mwenye ushawishi mkubwa dunia ambae
anapingana nao basi ilikuwa ana uwawa na
kuchukua cells na gene zake ili kutengeneza
mtu mwingine(copy) anae fanana na yule walie
muuwa na huyu mpya ataendelea kufanya yale
aliye yafanya yule lakini akiwa chini ya
mamlaka yao hao freemason,au mfano mtu
wao muhimu akitaka kufa wana mfanyia clone
ili aendelee kuishi. Katika hii ishu nikwamba
wapo watu maarufu ikiwemo
wanamuziki,wanasiasa na waigizaji ambao
tuna wajua lakini sio halisi yani namaan isha
walisha kufa kitambo lakini waka weka siri juu
ya vifo vyao na kutengeneza copy ya mtu
mwingine kama yeye ambae ana ishi mpaka
sasa..hii apa list ya watu marufu ambao
walikufa lakini waka fanyiwa clone.
ITAENDELEA.......
MUNGU kwa kunifanya niwe salama mpaka
sasa,pia nina imani nyie pia mpo salama
vilevile na tuendelee kumwomba MUNGU
asimame mbele yetu siku zote za maisha yetu.
Leo nimekuja kushare nanyi elimu kidogo
inayo husu "human cloning"na nina amini
wengi wetu ni wageni wa hii kitu..katika
makala hii tata naamini wapo ambao wata
amini hiki ninachoenda kukisema na wapo
ambao hawata amini.Unaruhusiwa kubishaila
tuu tolea maelezo kile unachobisha
neno "CLONING" ni kitendo cha kutengeneza
kiumbe kipya kupitia material ya kiumbe
kingine ili kutafuta ufanano sawa katika
maabara..clone ipo ya aina nyingi kama mimea
na wanyama.. HUMAN CLONING; ni kitendo
cha kuchukua celltishu na gene(DNA) ya mtu
fulani na kutengeneza mtu mwingine anae
fanana na yule wa mwanzo kwa kila kitu
kupitia maabara.human clone ili anza miaka ya
1960.lakini badae umoja wa mataifa ulikataza
kitendo hicho kibaya baada ya mwaka 1967
CIA kuaibishwa na bunae lamarekani kwa kufanya majaribio ya clone ya binadamu
kwenye project ya mk-ultra.ndipo mataifa
mengine yote yalipo acha.
lakini kuna vikundi kama illuminant/
freemasoni wao waliendelea kufanya kitendo
hicho kwasiri ili kutimiza lengo lao lakuja
kuitawala dunia katika new word order.ikawa
wanafanya hivi,endapo akitokea mtu marufu
mwenye ushawishi mkubwa dunia ambae
anapingana nao basi ilikuwa ana uwawa na
kuchukua cells na gene zake ili kutengeneza
mtu mwingine(copy) anae fanana na yule walie
muuwa na huyu mpya ataendelea kufanya yale
aliye yafanya yule lakini akiwa chini ya
mamlaka yao hao freemason,au mfano mtu
wao muhimu akitaka kufa wana mfanyia clone
ili aendelee kuishi. Katika hii ishu nikwamba
wapo watu maarufu ikiwemo
wanamuziki,wanasiasa na waigizaji ambao
tuna wajua lakini sio halisi yani namaan isha
walisha kufa kitambo lakini waka weka siri juu
ya vifo vyao na kutengeneza copy ya mtu
mwingine kama yeye ambae ana ishi mpaka
sasa..hii apa list ya watu marufu ambao
walikufa lakini waka fanyiwa clone.
ITAENDELEA.......