Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nipo zangu Kasulu, baada ya kazi ngumu Buhigwe kusaka mkate wangu nikaona nipumzike Bar flani, kwakua sina uenyeji nikakaa zangu Kaunta napiga zangu Serengeti Lite bariiidi mida ya jioni. Upande...
10 Reactions
103 Replies
12K Views
Salaaam Naitaji msichana au mke wa mtu au gf wa mtu yeyote anaeitaj kuchat sex chat usiku mda wa kulala au kuchombezana kiutani, kumpandisha ham. Umri awe kuanzia 25 to 40 Niko vzr katika haya...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Huyu mwanamke anaishi dar mi Naishi mkikoani (mzururaji) kusaka riziki ,tatizo kila nikija Dar nafikia kwake lakini ananikwaza jambo moja ,kila nikienda kwake anabadili house girl hivi si...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Salama.... Ukiwa kwenye mahusiano hakikisha mnashikamana haswa sio juu juu tu ili badae ujute halafu muanze kurudiana. Mwanaume ukiachana na mwanamke kwa kisa chochote kile usije ukarudiana nae...
16 Reactions
190 Replies
18K Views
You wouldn't say she wasn't a lookie...she had the most beautiful eyes. They were big, brown and curious. They were always wandering.... out of curiosity. And even if you did not believe in the...
5 Reactions
45 Replies
3K Views
Kwa nini familia za Kiafrika especially Tanzania akina mama yuko radhi atoke Kwa mume wake akaishi kwa mtoto wake wa kiume ambaye ana mke wake, pia huwa hawataki kwenda kukaa kwa binti zao ambao...
11 Reactions
51 Replies
6K Views
Uzoefu unaonyesha kuwa ndoa ambazo gharama zinakuwa kiduchi zinadumu sana angalia hii video wabongo wakienda ukumbini
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Raha ya mapenzi ni kukutana na kitu original ambacho hakijawahi kuzinduliwa Mwanamme wa kweli ni yule ambaye katika historia yake lazima awe amewahi kubikiri kuliko kubaki kukodoa macho na...
7 Reactions
65 Replies
10K Views
Mbona wanawake wa siku hizi ni pasua kichwa sana nmefanya tafit ya maeneo tofaut na kugundua wengi wao wako kimaslai zaid ingawa nilikuwaga mwanzo nasikia tu kwa watu tofauti.unakuta unakutana na...
4 Reactions
45 Replies
4K Views
Kuna kazi zingine zina ushawishi sana asa hiii kazi yangu ya kiwanda cha Uchakataji wa viazi kuwa Chipsi, Huyu mke wa mtu ni mteja wangu wala sikuwa na mahusiano nae au ata ile dalili ya kutaka...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Hili ni swali ambalo huwa limo kichwani mwa kina dada wengi wanapo tongozwa hakwambii lakini sisi wanaume lazima tujue lipo kichwani mwao. Wao husema kuwa wao ndio hustahili kupewa pesa na...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Aise kweli maisha ni ubunifu! Huyu dada poa funga kazi kabisa, ana bodyguard wawili wa kusimamia endapo itatokea fujo. Issue ipo hivi: Juzi hapa baada ya game ya Liver na Napoli kuisha nilikwenda...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Wakubwa sasa kazi kwenu hapo kama mnaogopa mademu ushauri wa bure huu hapa. Partnership advice#1 Smile Smile. Women are smile-addicts. A few well-placed smiles, a happy attitude, some...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nahitaji mwanamke ili aje awe mke wangu Dini yangu ni mkristo na nina kazi inayoniingizia kipato Umri wangu ni miaka 35 na nina mtoto mmoja wa kiume Situmii kilevi chochote, sio mtu wa starehe...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari wakuu Niko kwenye usahili wa kutafuta mwanamke wa kuoa mnamo mwakani kama Mungu atajaalia. Sasa kuna binti ambae anaongoza kura za maoni mpaka sasa kukabidhiwa nafasi hiyo,Ila kiukweli...
1 Reactions
192 Replies
14K Views
Wana jukwaa salama Kwanza kabsa niende moja kwa moja kwenye mada rose n mwanamke niliempenda sana takriban kwa miaka minne nikiwa nae kwenye mahusiano tulipitia mengi alinifanya nifumbe macho...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Nlipopata kazi kwa mara ya kwanza na kuanza kuishi jijini Dar Es Salaam kuna changamoto nlikumbana nazo kama kijana kijogoo, nlianza kujirusha maeneo ya kinondoni hasa masai club ambayo siku izi...
4 Reactions
20 Replies
10K Views
Pamoja na kwamba kudanga ni utamaduni ama biashara kongwe nchini na kwingineko, asee kwa miaka hii ya karibuni KUDANGA kumekuwa kama LAZIMA kwa Dada zetu. Yaani mtu anadanga utadhani anapata...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimekuwa mkubwa jamani Sasa nataka kuoa. Mimi katika tumbo letu mimi ndio wakiume pekee, tupo watatu namimi ndio wapili kuzaliwa, wazazi wetu wote walisha rest panapostahili. Ndugu wengine...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…